Messenger RNA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,102
- 3,023
Waziri mkuu wa uingereza amesema haijalishi vita itachukua muda gani lakini uingereza itasimama na Ukrene bega kwa bega kwa hali na mali huku misaada ya kijeshi itaendelea kupelekwa kyiv bila kujali urusi anatoa vitisho gani,Waziri mkuu huyo amemalizia kwa kusema ukrene lazima ashinde vita kwa kuwa uwezekano wa kushinda upo na atashinda hakika.
BBC.
BBC.