Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
Digits zinazoonyesha jamaa wametia hasara kubwa mno jamani, hakuna namna nyingine ya kuwaongezea mashitaka jamani? Kwanini na PPRA wasiruhusiwe na wao kutinga na watu kwa court manake mikaba mingi ya manunuzi bongo ni fake na wahusika wa kutoa zabuni wametumia kuwanyonga watanzania.
Majengo ya BOT ni mradi mmoja lakini mikataba mingi ya ujenzi, huduma na consultants inafanana sana kilichotokea BOT ni bora sasa kuchunguza na tender zilizotangazwa, mikataba na kuwafikisha watu kwa korti na kuwabana warudishe walichochukua.
Kama jamaa alikuwa anatoa RAV 4 basi nazo zirudi kwanza zipigwe mnada wananchi warudishiwe cha kwao.
Majengo ya BOT ni mradi mmoja lakini mikataba mingi ya ujenzi, huduma na consultants inafanana sana kilichotokea BOT ni bora sasa kuchunguza na tender zilizotangazwa, mikataba na kuwafikisha watu kwa korti na kuwabana warudishe walichochukua.
Kama jamaa alikuwa anatoa RAV 4 basi nazo zirudi kwanza zipigwe mnada wananchi warudishiwe cha kwao.