Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Mkuu mtindio yaani hii ya Liumba na mimi inanipa shida sana kuamini na akam ni hivyo ndivyo BOT inavyoendeshwa basi kuna haja ya kutengua the whole BOT uongozi na kuleta consultant hapo (ulaji mwingine.. lol) atutengeneee tructure ya kueleweka!!!!!
Mkuu hata mimi nashindwa kuelewa hii inakuwaje kuwaje..watu 2 wana-handle 200 billion na kuzi-drain in open air..
May be..Lakini kama ni hivyo hii itabidi iingie kwenye GUINESS BOOK OF RECORDS ..
Only in Bongo..!