Liverpool ndani ya LEO TUPO HAPA PUB.

Liverpool ndani ya LEO TUPO HAPA PUB.

Kha ha ha ha ha haaaaaa!


ladyfurahia eti umesema Mbunge wa Simanjiro amekuja??
 
Last edited by a moderator:
si ndo wewe hapo bestito au nimekosea?
ndo umetoka dodoma kwenye lile vagi la ndondi za bure pale mjengoni?
vipi akina sugu wamepona kweli na kaka yangu mwenyekiti cdm kapona?


Kha ha ha ha ha haaaaaa!


ladyfurahia eti umesema Mbunge wa Simanjiro amekuja??
 
nitafuraihije? kuonana live na mbunge wa simanjiro!!
wenye bahati si ndo sisi jamani hureeeeeeeeeeeeeee
nasubiri kwa hamu siku hiyo yani we acha tu!!

Best utanisamehe bure tu kwani Kamanda Mtambuzi nilijua aliwaambia ila nitakutafuta.
 
Mtambuzi hebu tuambie ni nini kimekusibu tena? Ndiyo maana haupatikani hewani nini?
 
Last edited by a moderator:
sikusikia huku kwetu mtambo wa tigo ulikwama halafu
kulikuwa na honi nyingi sana pale hospitalini kwani
mbunge sugu alikuwa anakimbizwa hosp alipata hitilafu
leo tena ipo au ndo ameshapanda dude la FASTJET?
LiverpoolFC yeye hapandi commercial flights, anatumia private jet

Picha-ya-ndege-inayoundwa-na-kijana-Denis.jpg
 
Back
Top Bottom