Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,311
- 40,118
Mkuu na wewe umeona hicho watu hawakabi aiseeVeterans FC
Timu imejaa wazee wala pensheni kila eneo unategemea nini? Kukaba hawakabi kukimbia hawakimbii
π π π Dokta huu msimu ni wakusidikiza wengine aisee kama kutegemea kuna ushindi hapa Ethad mhmhmh sio kwa wachezaji hawa na hii attitude.Hii Team inahitaji overhaul kubwa sana
Van djik hakabi aisee anaangalua tu mtu huku amegeuza makalio, aisee nmechoka Nmeona mengi msimu huu aisee [emoji23]
Watu wanacheza side ways passes kama upuuzi vile
Hiii team watu wanacheza ni fabinho, Salah, jota na gakpo na konate kidogo wengine upuuzi tu
Team iuzwe mashabiki wenye card tugawane hela
Yani wanacheza low block lakini bado space ni kubwa sana baina ya wachezajiMkuu na wewe umeona hicho watu hawakabi aisee
Hawakabi kabisa wanaangalia mpira uwanjani kama mishabiki vile
Yani wanacheza low block lakini bado space ni kubwa sana baina ya wachezaji
Wahenga Fc wazee wa pension,Huwezi kushinda bila Milner