juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,976
- 5,463
Kuondoka kwa Ward hivi haiwez kuwa kwa sababu wamiliki wapya kuwa imminent, maan hata mwaka haujaisha mtu kama Ward kusepa.Kwa kweli kwa sasa huyu Yankees hakutaka kubahatisha na usajili tena amesuka kiksosi kamili sana cha kazi na soon mtaanza kuona matunda powa sana... Timu inasukwa na kua idara yenye mbinu tofauti za usajili na wenye kua na mawasiliaono powa na kocha..
Kwa sasa hatujui sie tutaamkia kwa nani hakuna cha Ward wala Edwards
YNWA
Hao hao wa middle east watuchukue aiseeIts happeningView attachment 2428913
Msubiri mpate Yankee itapendeza zaidi[emoji16][emoji16][emoji16]Hao hao wa middle east watuchukue aisee
Mungu asaidie
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ilianza New castle, ikaja Chelsea sasa Liver few km wako The Glacers nao wanauza ManureIts happeningView attachment 2428913
Bhana ishu za Liverpool tangu zamani hua ni chini ya kapeti labda usome kwa James Pearce ama kwa home boy wetu MosDef ndio utajua kama kuna uhusiano wa Ward kusepa na kupatikana kwa wamiliki wapya klabuni.Kuondoka kwa Ward hivi haiwez kuwa kwa sababu wamiliki wapya kuwa imminent, maan hata mwaka haujaisha mtu kama Ward kusepa.
Bring the oil money chap chap ili mambo yakae kwenye mstari. Tumechoka kuburuzwa na Kipara kileleni mwa ligi kila msimu ukiishaIts happeningView attachment 2428913
Bora le capitano aumie tuLe Captain yupo anaupiga mwingi
Na kijana wetu TAA
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mbona ameupiga mwingi tuBora le capitano aumie tu
MosDef huwa anahabar nzuri sana, huwa nikikuta post yake lazima niipitie, japo me nishabiki wa chelsea,Bhana ishu za Liverpool tangu zamani hua ni chini ya kapeti labda usome kwa James Pearce ama kwa home boy wetu MosDef ndio utajua kama kuna uhusiano wa Ward kusepa na kupatikana kwa wamiliki wapya klabuni.
Muda utasema lakini.
Hao wamiliki wapya waje tu maana FSG wamefika mwisho wa kuweka mkwaja wao.
YNWA
Kabisa sie humu kwa Majogoo tunabarikiwa kua nae hapa jamvini kupata madini mazito mengine ambayo hata main stream media hawaweki..MosDef huwa anahabar nzuri sana, huwa nikikuta post yake lazima niipitie, japo me nishabiki wa chelsea,