Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Klopp na mambo yake ya kukariri ,yeye (Klopp) amekariri kwamba lazima Firmino ampange Tisa na lazima Gini (Ambae hawezi kukaba) ampange 8 au 6
Yaani hata sielewi huu uwoga wa nini maana kila mbinu aliyokuja nayo Anfield 2021 amefeli maana hatujashinda na hatuna goli from open play pale Anfield zaidi ya ile penati ya Salah dhidi ya Manchester City hakika hio dalili mbaya sana.

Sasa Klopp should have the balls and try something new sio kutegemea Robbo na Trent ku create as usual wakati sasa wamekamatika vilivyo.

Kuna hawa watoto MFs wa academy na wapo very highly rated Leighton Clarkson na Jack Cain nadhani ni muda awape dakika sasa maana kikosi kipo hoi kinahitaji new players new dimension new tactics huo ndio ukweli.

YNWA
 


Na Top four tunaweza ikosa maana ni wazi Chelsea lazima Top Four mwaka huu

Hiyo nafasi iliyobaki Top Four tutagombania na Spurs , Spurs akikaza hatuingii top end come end of this season campaign
 
Sasa hii ndio Liverpool tunayoijua sisii yanii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Timu bovuuu sana

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ila hongereni maana nyie msimu huu sio tiGo kwmba kila yeyote anajipigia ila pia nikupe pole kwamba msimu huu hata nafasi ya pili namuona Chelsea ndio akishika nafasi ya pili sababu Chelsea kusema ukweli ndie anacheza vizuri katika Big Six wote
Timu inayocheza vizuri ni City Mkuu, Chelsea ni homa ya vipindi, they are just having good run...hata wakati wa Lampard kuna kipindi walikuwa na mfululizo wa matokeo mazuri lakini baadae waka flop

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 
Klopp. Muoga wa maamuzi. Ndo. Maana mpk Leo analazimisha kumpanga fabby au Hendo beki ilhali Ana Philips ambaye ni good defender yuko benchi.
Tunakosa full intensity Ile tuliyoizoea katikati pale. Ambayo afabby na Hendo wanatupa.
THIAGO hawezi kutupa hiyo kitu Yeye mwisho wa mechi atapewa sifa tu kuwa kapiga pasi 100 zimemfikia Jones na salah au mane huko pembeni.
Kiungo ndo kila kitu.... Wapinzani wameikontrol watakavyo sababu ya uoga wa klopp. Mpaka anaoneakana hana plan B.
Wakati pep anaongea wawili wa 3 Yeye aliona kikosi ambacho kimecheza 3 years in a roll bila kupumzika basi ngoja amlete THIAGO kupoza game. Na bado analazimisha wacheze hao hao sababu ni Muoga. Now ameninginia kwenye CL ambako tulipata magoli ya ngekewa but hatuendi mbali am sure robo ndo Itakuwa mwisho wetu. Kwanza it's not fair tupo kwenye mbio za Top 4...tumepoteza 5 games home straight[emoji24][emoji24][emoji24] we should be 15 by now.
 
Bila plan B msimuu huu utaendelea kuwa wa ovyo 433 is no longer working aje na mifumo mingine aache ubishi unamcost
 
psg tufanye nao biashara, wamchukue kati ya salah na mane mmoja watupe kylian....... kisha unaongeza mmoja!

cb so far ibaki kama ilivyo (huyu dogo kabak akabikishwe), akipona gomez na vvd, kisha una philips na williams wanatosha!


mido ongeza wawili tu, mwondoe gini na milner......,


jumla tusajili wachezaji wapya 4 au 5 wa kuingia 1st 11...... otherwise tutaendelea kulia
 
Timu inayocheza vizuri ni City Mkuu, Chelsea ni homa ya vipindi, they are just having good run...hata wakati wa Lampard kuna kipindi walikuwa na mfululizo wa matokeo mazuri lakini baadae waka flop

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Mwisho wa ligi Chelsea huwa hatulali, hatulegei wala hatubabaiki. Wee kesha tu ukidhani Chelsea itaflop hadi tukuache kwenye mataa
 
Soon mnaenda kuwa mid table timu ..

Level zenu manaenda kushindania nafasi ya 10 na arsenal ..

Uefa ,Europa mnaenda kuziangalia kwenye TV ..!

Mods fungeni huu Uzi ,mpaka miaka 30 tena ,hii timu mdogo mdogo inashuka chini kwenda championship..
Championship hawatofika, wanatakiwa wabaki kwenye ligi ili tuendelee kuwapa kipigo

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Busines model ndio itatufelisha. Lazima wakubali utofauti wa Europe na America business in sport. Sasa mf. Wale nike huenda under this silly business model wameona watakula hasara sana.


Signings zetu zimekua za hovyo sana.
Ni £2m kushuka chini na wooote wametolewa ama mkopo au kuuzwa kabsaa.

Tusubiri tu. Mstari wa kwanza nimeuelewa vzuri.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…