Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

majeruhi wa leicester wanasababishwa na kucheza muda mwingi sababu ya ufinyu wa kikosi,tofauti na liverpool wanaotumia nguvu kubwa
Mbona lestercity wana majeruhi sawa na sisi na wao nguvu zimezidi
 
Mabeki ndo kila kitu pamoja na uzuli wake beki ndo muhimu
 
Ila mimi binafsi nikiona mane hajaumia huwa naona hii game tunaiweza, jamaa naona kama ni beki, mido, na foward all in one.
 
Ubingwa unarudi Anfield hata kabla msimu haujaanza tulishajua
Mechi nane out of 38 ushasema nyie ni bingwa aisee[emoji23][emoji23][emoji23] timu zinazidiana Point moja moja


Table inapinduka, kila Weekend
 
Alachuga ondoa ushabiki Jota na Wener nani mkali kwako.


Mimi kabla ya usajili nilimkataaga si kwamba ni mbovu bali ilisemwa ataingia kwenye front 3 yetu.

Kwa hili ondoa utani kwa muda
Werner ni mashine ya kazi ..huyu Jota bado sana mkuu ..ana mengi ya kujifunza kwa Werner.

Tukiweka ushabiki pembeni, Werner anamwacha mbali sana Jota.

Jota ana uzoefu na epl kuliko Werner lakini haiondoi ukweli Kwamba Werner is better than Jota.
#CFC[emoji170][emoji170][emoji170]

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…