Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Aaa hapana ndugu Steve bado sana CV yake ya ukocha ni nyepesi mno sipo sure kama alipo ataongezeka zaidi ya ilivyo sasa...

Tunaposema Liverpool sio mahala pa majaribio tena tunamaanisha mpaka idara ya mwalimu pia sio ya kupewa amateur coach hapo bila shaka tutakua tunarudi nyuma baada ya continuation ya atakapotuacha Klopp..

Moyes alijitahidi sana kwa bajeti finyu kuwarudisha kwenye makali Everton lakini aliishia kua wa Big 10 mara nyingi, kwenda Manchester United ilikua kwake ni kama yupo ndotoni maana ile kazi ilimzidi Kwa kila jambo matokeo yake waliona haziwezi hivyo akatimuliwa...


Steve hajafika hata robo ya Klopp apate hio direct ticket kuifundisha Liverpool maana kua club legend ni jambo moja na kufundisha Kwa kumleta mafanikio ni jambo lingine...

Otherwise ana misimu minne kutuhakikishia hii kazi anaweza akipewa...

YNWA
Ok vizuri ni mtazamo pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Baunsa wa wolves abaki huko huko. Ni wa kawaida ukiacha mbio zile. Kama salah akiondoka najua kloop ataleta mtu but sio huyo adama. Ambae hata wilson kamzidi magoli na assists

Sent using Jamii Forums mobile app
wachezaji wengi aliowakuta au kuwaleta Klopp walikuwa wa kawaida tu kuliko hata Traore. akawabadilisha kuwa world beaters.

embu msome hapa chini Gary Lineker anavyochambua kipawa cha Klopp katika kuwaendeleza "wannabes" na kuwa nyota wakubwa kisoka..

Quote
"Klopp introduced his own style – this dynamic high-octane pressing game. It’s generated fitness and mental belief within his players. What Klopp did at Dortmund was remarkable but what he’s built at Liverpool is even better.

He’s obviously been involved in recruitment and that’s crucial.
When they bought Salah everybody thought: 'Hmmm … should be all right'.
Mané looked a good player at Southampton. But did we think he was this good?
Henderson was there and everyone goes: 'Nah. He’s nothing special.' Everybody had a go at him. Now people are realising this kid’s a bloody good football player and a real leader.

We all knew Van Djik was good but he came from Celtic and Southampton.
Wijnaldum came from Newcastle.
Robertson didn’t cost much from Hull.
Trent [Alexander-Arnold] came through the academy and he’s going to be the best of the lot."
Unquote
 
wachezaji wengi aliowakuta au kuwaleta Klopp walikuwa wa kawaida tu kuliko hata Traore. akawabadilisha kuwa world beaters.


20200128_090335.jpg
 
Mkuu huwezi jua uenda Hendo akapitia njia ya Paisley .. Paisley naye alipewa ukapteni kutokana na amsha amsha yake nje na ndani ya uwanja ..maana ye alianzia kuwa a team physiotherapist na kuja kuwa a reserve team coach mpaka alivyokuja bill shankly akamjumuisha kwenye benchi lake la ufundi ,
U never know labda Steven akichukua jukumu akamjumuisha pia history ikajirudia , Steve to become a new Bill shankly and Hendo to be a new Paisley..( am just dreaming )
#Futurepost

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemkosea sana heshima Paisley
 
PC yangu leo imeanguka na kuharibika kabisa completely.

Kops naomba connection kwa yeyote yule alyepo Dar ninapoweza kupata PC kwa uhakika.

Kama upo Dodom au Mkoa wowote ule wa Kanda ya Kati (Shinyanga, Dodoma, Manyara, Singida, Tabora, Morogoro) pia tunaweza kufanya Biashara.

Kama ni Arusha kuna Duka zinapatikana pia tutafanya Biashara.

Mazungumzo yote tuongee Inbox.
Pole sana mkuu
 
Litimu lenu jana limeninyima hela aisee
Utawalaumu bure , hilo kombe kama mfatiliaji mzuri , Liverpool hasa klopp hajalitolea macho sawa na Carabao , Yupo kama King Ngwaba wanayaita mickey mouse , na nimesikia mech ya marudio hawaweki Senior players na benchi anaweka kocha wa U23 .

Sasa jichanganye tena hiyo mechi uliwe bila kufatilia.
 
Aaa hapana ndugu Steve bado sana CV yake ya ukocha ni nyepesi mno sipo sure kama alipo ataongezeka zaidi ya ilivyo sasa...

Tunaposema Liverpool sio mahala pa majaribio tena tunamaanisha mpaka idara ya mwalimu pia sio ya kupewa amateur coach hapo bila shaka tutakua tunarudi nyuma baada ya continuation ya atakapotuacha Klopp..

Moyes alijitahidi sana kwa bajeti finyu kuwarudisha kwenye makali Everton lakini aliishia kua wa Big 10 mara nyingi, kwenda Manchester United ilikua kwake ni kama yupo ndotoni maana ile kazi ilimzidi Kwa kila jambo matokeo yake waliona haziwezi hivyo akatimuliwa...


Steve hajafika hata robo ya Klopp apate hio direct ticket kuifundisha Liverpool maana kua club legend ni jambo moja na kufundisha Kwa kumleta mafanikio ni jambo lingine...

Otherwise ana misimu minne kutuhakikishia hii kazi anaweza akipewa...

YNWA

Angekuwa na qualities za ukocha bora angeisaidia timu ule wakati mgumu akiwa kama captain, ila na kwa jins anavyoendelea Rangers pamoja na kupewa support ya wachezaji na kuwa kivutio kule, naona kabisa hafai


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Its fair
Man united walimnunua Ronaldo baada ya kuwachambuachambua mabeki wake

Mourinho alimnunua Drogba baada ya kumchambua mfumo wake na minguvu yake,
Same path
chief, ukifuatilia humu utakuta baadhi yetu tumekuwa tukimfuatilia huyu dogo kitambo kutaka atue Anfield some day.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom