Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,591
Dah! Kweli naamini kipato kina jeruri ha ha ha ha
Yani sisi Team lawama hatuonekani hata mmoja tukizungumzia usajili wa January???
Hapa inadefine wazi kabisa kuwa We are Liverpool na wala haatuna chuki na Klopp wala mchezaji yeyote bali tulikuwa na Njaa ya kutaka kuona mafanikio.
Sasa tunayaona Mafanikio kuna haja gani ya kudai usajili au kumzungumza Klopp? 😀😀😀
Hata Henderson baada ya kujitambua na kuelewa nini Mashabiki tunataka basi hunioni Mtu kama mimi King Ngwaba kumjadili Hendo kwani hata nicheze mimi Mtaalamu wa Chandimu vijijini kwenye Mashamba ya Alizeti baada Kuvuna huku Magoli yakiwa ni Mabua ya Alizeti basi tutashinda na kutoka na Clean sheet.
Klopp ukitaka saini hutaki tulia mimi ninafurahi tu hapa kupata mipoints mengi na Miclean sheet ya kutosha.
Sasa hivi usajili tunaousubiri ni kupona kwa Fabinho na Matip, Keita hali yake inaniumiza kichwa maana ni mchezaji nayependa kumwona ila hali ya afya imekuwa challenge.
I'd rest him for now, No pressure, we survived without him. View attachment 1322951
Sent using Jamii Forums mobile app
If he is 95% fit I would put him in. Man Utd are stubborn and our mids need to be as fluid as possible.
yaan anaweza akakuua kwa presha ukajua ngoma imeisha 4 - 4 kumbe hujasoma vizur, huyu ollachuga bwana [emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]Yani ollachuga ni sawa na Kenge haamini mpaka aone damu!
Unawezakuta Dakika ya 89' Liverpool inaongoza 4 kwa 0 na still akacomment mechi inaisha Draw ya 4 - 4
Lakini dakika ya 93' Chelsea imeshapigwa 4 - 0 na Bournemouth but still akakwambia game itaisha kwa Chelsea itashinda 4 - 5
Sijui watatokea wapi najaribu kuwatafutia njia ya kuwatoroshea lakini siioni.Jumapili tunaenda kushinda goli za kutosha tu, manure ni timu dhaifu sana haiwezi kupambana na Majogoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya majamaa tukikutana nayo sijui tunakuwa tumelogwa? Na ubovu wake lakini ndio timu pekee iliyoambulia sare na Majogoo kwenye raundi ya kwanza....Jumapili tunaenda kushinda goli za kutosha tu, manure ni timu dhaifu sana haiwezi kupambana na Majogoo
Sent using Jamii Forums mobile app
" success has many fathers but failure is an orphan" incognitoJean-Louis Gasset, a former assistant of Laurent Blanc at PSG, has applauded Liverpool manager Jurgen Klopp's contribution to the game since his arrival at Anfield.
"That guy (Jurgen Klopp) is revolutionising football," Gasset said."He doesn't have the best players but he has the best team."
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mie. Kumkosa Gini,Keita Nitashika makende mpaka mpira uishe.Sasa hivi usajili tunaousubiri ni kupona kwa Fabinho na Matip, Keita hali yake inaniumiza kichwa maana ni mchezaji nayependa kumwona ila hali ya afya imekuwa challenge.
Sijui watatokea wapi najaribu kuwatafutia njia ya kuwatoroshea lakini siioni.
Haya majamaa tukikutana nayo sijui tunakuwa tumelogwa? Na ubovu wake lakini ndio timu pekee iliyoambulia sare na Majogoo kwenye raundi ya kwanza....
Imagine! Yaani unawacharaza kina ManShit, ChelSick. LazySista, AssesNo, TotoHumberger na wengine afu huyu mgonjwa Manure anakudindia droo.... huoni kama kuna kauchawi flani hawa Mbolea ya Bata wanakatumia??
The best player in England...... Hatimae anaanza kupewa heshima zake stahiki....... Congratulations our skeeperView attachment 1323404
Sent using Jamii Forums mobile app