Duniani wenye bahati zaidi wapo aisee... Henderson yumo kwenye hio listi...
Over reliance na 4 3 3 jana imetocost point 2 muhimu na pia over reliance ya front 3 nayo ni shinda..
Jana Bobby haha click kabisa...
Klosi za Trent zilikua useless maana alikua amebanwa na Young muda mwingi aliishia kuzipiga akiwa mbali kabisa na hazikua na madhara yoyote...
Aidha Klopp aweke imani Kwa Chambo, Keita Fabby pale kati au ateme hii 4 3 3 baadhi ya mechi..
That's itTOTAL failure kutowafunga jana au mechi yoyote dhidi ya Manu wakiwa katika hali waliyo nayo hawana identity just a bunch of kids and some seniors...
Klopp hili linamtia doa kabisa hana cha kujitetea
Mkuu ulisema kuhusu hali fulani pale OT kama vile kweli aisee...Na bado, mnakumbuka ilivomnyima man city point tatu wakat yupo na spurs?
Mnakumbuka ilovowabeba ile penalt dakika za mwisho na lecister city?
Hiyo hiyo ndio imewanyima ushindi pale OT,
Var, inatafuna kila mtu, ni swala la muda tu, hata bingwa anaweza kupangwa kupitia mgongo wa var....
Chini ya Klopp sitarajii kufunga Manu OT...That's it
Tunashindwa kumfunga Man Utd at the moment wanastruggle na timu mbovu, swali ni tutamfunga akishapata kocha mzuri au?
It isChini ya Klopp sitarajii kufunga Manu OT...
Ole alifanya homework yake vizuri Sana dhidi ya one sided Liverpool..Kwenye mfumo wa 4-2-3-1 kiungo anaekuwa nyuma ya lone Striker simuoni zaidi ya Shaqiri na Bobby
4-2-3-1 Double pivot midfield Duo Lazima Milner na Fabinho wahusike
LOL hii VAR sasa inakua kero pale inapochangia kukosa point 3 muhimu..Var haina maana bado bado eplView attachment 1240328
Cha ajabu utashangaa hamna anayepata but ingekuwa uwezo wangu angepewa Mo Salah
Respect to the short listed lads they have done us proud...
Mkuu Aaron Arsenal kote kote gemu ya 9 sio powa kabisaaaa...Si kulikuwa na hati hati ya kutokucheza ,
usikute wewe hata kutuliza ngozi haujuiBado haijaondosha Facts Kuwa Lallana ni Mzoga
Respect to the short listed lads they have done us proud...
Most likely Messi the wizard from Mars will win this year Ballon d'or
usikute wewe hata kutuliza ngozi haujui
Var haina maana bado bado eplView attachment 1240328
Hapa ndio tutaprove ukanjanja wa zile tuzo za FIFA naamini hapa Africa tujiandae kwa shangwe,sijaona sababu gani zitamfanya Sadio au Salah kukosa hii tuzo.....
Wale mafalas wa FIFA waliacha hoi katika kile kikosi chao eti Marcelo anakula ubavu then Andy Rob anatupwa nje,wametafuta chaka la kumpachika ramos wamekosa eti wamemweka upande wa kulia hahahahaaaaa alafu TRENT anatupwa kule loooohhhh.....huyu Ramos wa sasa hata kwa Tuanzebe hapati namba .....
Ila na mimi hapo naona kama nafasi ya Whij angepewa Robertson ,jamaa kapiga kazi sana sana yaani