Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu Forward hapo hamna rotation maana mtu anaepumzishwa dk ya 70 hiyo sio rotation
 
Wiki hii nilikuwa naangalia highlights na marudio ya baadhi ya full games karata yangu mapema naitupia Anfield na kikosi chetu finyu bado nina matumaini makubwa ya PL trophy

Kwa kuwa msimu huu kuna mapumziko ya 2 weeks January & Feb sina hofu napo
kwanza nashukuru kwa updates sikujua ile snow break inaanza msimu huu hakika hapo nina imani hatupoteani wala kulaumu upepo au barafu ni nyingi uwanjani....

kuanzia gemu ya Vs the Ganaz na hii ya vs Burnley kikosi kimenipa sana imani tuedako ni pazuri....
 
Kwann alidraw na tot...
Mpira hauko hvyo unavyosema,

Man city kwa liverpool anapata wakati mgumu sana kushinda kama unafatilia

Pia man united mtoe katika kumzuia liverpool,
Misimu miwili kwenye ligi
man city na liverpool
Nani yupo juu ya mwenzake kwa takwimu hizi. 2017/18 na 2018/19 ( man city alibeba ndoo )
 
Kwann alidraw na tot...
Mpira hauko hvyo unavyosema,

Man city kwa liverpool anapata wakati mgumu sana kushinda kama unafatilia

Pia man united mtoe katika kumzuia liverpool,
Misimu miwili kwenye ligi
man city na liverpool
Nani yupo juu ya mwenzake kwa takwimu hizi. 2017/18 na 2018/19 ( man city alibeba ndoo )
View attachment 1201110
 
kwa Maddison ndugu nasema sio wa kawaida japo sio proven in big stage pale Foxes anafanya vyema sana the boy has talent....

najiuliza kilichomzuia Klopp kumpata huyu ndogo and he did show interest at some tym baadae akachomoa...
 
Profesor Wenger has nailed its...Bobby is the system

fingers clossed....he will come better with AGE...so haya ya Burnley tutaedelea nayo na tuwe wavumilivu....

Messi might be retiring at Barca 2022-2023 naona hawa Catalans wakituletea mpunga wapate like for like replacement
 
kwa Maddison ndugu nasema sio wa kawaida japo sio proven in big stage pale Foxes anafanya vyema sana the boy has talent....

najiuliza kilichomzuia Klopp kumpata huyu ndogo and he did show interest at some tym baadae akachomoa...

Klopp hajakataa kusaini bali Bodi inayoongozwa na Mmiliki haikutenga bajeti yoyote ya usajili Mkubwa au wa kawaida wala Klopp hakuwatia pressure yoyote juu ya kutenga bajeti ndiyomana hatukusajili.
 

Nilipopitia maelezo yake kuna kasehemu amesema kuwa Bobby ana consistency throughout the year

Nilisema dah! Huyu Mzee Wetu Wnlenger hajajua kuwa inapofika Jan-Feb syndrome pia na Bobby anapotea mpaka tukamtamani Adam Salamba aje amsaidie?

Yani hii miezi miwili (Jan - Feb) natamani ligi ingekuwa inasimama katika kipindi hichi.
 
Kikosi cha kawaida kinacho fika nusu final ya WC?
Messi hakufika hatua waliyo fikia England na huyu huyu Hendo ktk WC
Mido ambazo unaziona bora kwa Hendo kazipiga CL tena akianza mechi zote muhimu
 
Acha upotoshaji mkuu
 
hahaha nadhani alimaanisha Bobby consistency ya kutokua mbinafsi mwanzo mwisho....
 
Klopp hajakataa kusaini bali Bodi inayoongozwa na Mmiliki haikutenga bajeti yoyote ya usajili Mkubwa au wa kawaida wala Klopp hakuwatia pressure yoyote juu ya kutenga bajeti ndiyomana hatukusajili.
sasa huyu ndogo dirisha lijalo June itakua moto sana kwake Manciti watahitaji ku replace Silva na this UK wizard fit thier bill na pia Manu walimchungulia but hawaku react pengine watamrudia....

Kama Maguire kauzwa kwa £80m basi huyu ndogo itakua £50+...

yajayo yanafurahisha..
 
Acha upotoshaji mkuu

Hivi umeshawahi kupost kitu Mimi nikakuattack?
Mimi napenda sana kudebate kwa mtu yeyote humu pale anapopost kitu ambacho kinahitaji clarification! Lakini imekuaje Siku za hivi karibuni unaanza kuniattack kwa kila ninachopost?

Kama unahisi huridhishwi na kuepo kwangu humu kwenye Uzi ni bora ukani-ignore tu brother lakini sio wanaume wazima kuanza kufanyiana wivu.

Mimi mbona kila Mtu namuachia Uhuru wa kupost anachopenda? Bali nitamchallenge tu kwakile ninachohisi kina changamoto ndani Yake?

Brother kama unahisi naadika pumba nipotezee na pumba zangu tu.
 
Kikosi cha kawaida kinacho fika nusu final ya WC?
Messi hakufika hatua waliyo fikia England na huyu huyu Hendo ktk WC
Mido ambazo unaziona bora kwa Hendo kazipiga CL tena akianza mechi zote muhimu

Key points:
√ Hendo kafika Semi Final WC while Messi hakufika
√ Mido ya Hendo imebeba CL msimu huu while Messi hakubeba

CONCLUSION: According to Key points Hendo ni bora kuliko Messi
Nakubaliana Nawewe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…