Hahahahahahahahah.....This guy is injury prone,we need to sell him haraka iwezekanavyoNaby Keita not available vs. Southampton. Klopp: It's a muscle thing, we're not sure how long it will take.
Amekwisha!
Tanzanian, brother.Mkuu samahani naomba nikuulize, wewe ni mkenya au mtzed au UG,?
Hili halina ubishi , na sitashangaa Liverpool akienda kucheza fainal ya 3 mfululizo ya UCL , ila EPL mkishindwa ndan ya misimu hii miwili itawachukua muda sana kupata timu ya ushindani ,huu ndio wakati mzuri kuchukueni EPL, UCL huwa haijalishi mna kikosi gani,bali atmosphere ya anfield inawabeba. Wengine wanasema DNA ya UCL inawabeba piaKwa Mara ya Mwisho Timu ya Kiengereza Kuwin Uefa Super Cup ilikuwa ni Liverpool mwaka 2005, Halikubebwa tena na Timu ya Kiengereza mpaka kaja Kubeba tena Liverpool mwaka 2019.
Hii ni Kuonesha Liverpool ndiye Muengereza Pekee anayeweza kupambana kwa Ngazi ya Ulaya.
Liverpool cancel Dejarn Lovren transfer
Good footballer..honestly this wizard was ours to take for that 17mUsd that a bargain...
when he fit he is much better than Ox,Shaqir,Hendo,Gini,Milner, Lallana meaning angekua upgrade esp when opening the stuborn defence...
Wish him the best of luck at Real Betis.
Huyu jamaa mbona kule germany hakuwa hivi , ameingia kundi la wale wachezaji wa mechi 2 ya 3 wodini .Naby Keita not available vs. Southampton. Klopp: It's a muscle thing, we're not sure how long it will take.
Amekwisha!
Sema mnazidiwa nguvu. Kipindi hiki ambacho mmekuwa wasindikizaji kwenye ligue mmepunguza sana mashabiki. Mnazidiwa na Arsenal sasa kwenye kuwa na mashabikiKimahesabu ya harakaharaka ndani ya 2019 Bobby & Alisson wameshabeba Makombe Matatu (3). Na Kombe la Nne (4) lipo Njiani linakuja tena Ndani ya mwaka huu 2019.
1) UCL 2019
2) Copper America 2019
3) Uefa Super Cup 2019
4) Club World Cup 2019 is loading.......
Hii ndiyo raha ya kucheza Liverpool DDA ya Makombe imo ndani ya damu yetu.
Huwa tunapumzika kwa Muda tu baadae tunarudi kwenye ubora wetu.
"Form is temporary, Class is permanent"
One Year Four Trophies
"Let's talk about six baby"
Na nyie DNA ya Carabao inawabebaHili halina ubishi , na sitashangaa Liverpool akienda kucheza fainal ya 3 mfululizo ya UCL , ila EPL mkishindwa ndan ya misimu hii miwili itawachukua muda sana kupata timu ya ushindani ,huu ndio wakati mzuri kuchukueni EPL, UCL huwa haijalishi mna kikosi gani,bali atmosphere ya anfield inawabeba. Wengine wanasema DNA ya UCL inawabeba pia
ANDY LONERGAN,35,has never played in the Premier league and his last game was in March - for Rochdale vs Scunthorpe.Lol, Comedy FC..
huyo Keeper mwingine tuliyemsajili baada ya Adrian, anaitwa nani? yaani hata sikujisumbua kumfatilia..
Ndiyo atakuwa golini game ya kesho? Lord have mercy.
Carabao kwa kumbukumbu zangu sijui tulibeba lini, nyie Chelsea je ? Piga mboyoyo ndio muda wenu huu, kesho najua mtajipiga banNa nyie DNA ya Carabao inawabeba
Sasa nyie mna DNA ipi? Au DNA ya kucheza mpira mwingi?Carabao kwa kumbukumbu zangu sijui tulibeba lini, nyie Chelsea je ? Piga mboyoyo ndio muda wenu huu, kesho najua mtajipiga ban
Carabao kwa kumbukumbu zangu sijui tulibeba lini, nyie Chelsea je ? Piga mboyoyo ndio muda wenu huu, kesho najua mtajipiga ban
Hivi Chelsea ndio mmegoma kabisa kuwa msimu huu hammaliz nafas ya 10?Kwa kumbukumbu za karibuni mwaka 2017 EPL, 2018 FA, 2019 EUROPA, 2020 Loading...
Hivi Chelsea ndio mmegoma kabisa kuwa msimu huu hammaliz nafas ya 10?
Hamtaki kukubaliana na hali halisi?