Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

hata Messi the great wa Agentina ni tofauti kabisa na Messi wa Barcelona.
 
Well said Barnes

Our rivals wanaspend sana dirisha hili huko

Sasa inatakiwa na sisi tufanye usajili wa kuimprove Squad yetu

Kama Atletico wameweka £113 million mezani kwa ajili ya 19 year old sisi inatakiwa tufanye zaidi katika dirisha hili
Tajiri ashasema anataka kumuona lalana mzima. Ox mzima...na origi jext year. So watu watakuja nikujazia nyama tu. Lakini sio wa first 11
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…