Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_5625.JPG
 
Mignolet huwezi mfananisha na huyo mwehu...bora nimchukue kindoki


Katika vitu ambavyo nilimkubali Klopp ni alivompiga benchi Mignolet kisha kumuweka golini Karius.

Klopp alipatia pale, somehow Karius ana talent kuliko Mignolet

Waingereza wabaguzi sana ,haingii akilini wamtishie maisha Karius kisa ule uzembe aliofanya fainali
 
Katika vitu ambavyo nilimkubali Klopp ni alivompiga benchi Mignolet kisha kumuweka golini Karius.

Klopp alipatia pale, somehow Karius ana talent kuliko Mignolet

Waingereza wabaguzi sana ,haingii akilini wamtishie maisha Karius kisa ule uzembe aliofanya fainali
Humjui mignolet vizuri wewe...sio wa kumfananisha na karius
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom