Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Minutes of playing,wakati ligi inaanza alikuwa anatoka benchi, Auba kastahili,lakini nachojua wote watapewa boot

Natamani watumie goal per minute Auba apewe peke yake.

Salah na Mane wajipange upya.
 
Liverpool HALISI
Kwanza nawapongeza sana kwa kuja hapa ukumbini kushangilia team yetu bila kujali matokeo yapoje!
EPL ilikuwa nzuri sana na we fail short lkn kuna improvement kubwa sana!

Tunaenda Madrid kwa final ya CL na Spurs hawana walicho tuzidi!

Tushikamane zaidi,CL ni yetu
 
JOKES
Everton fans cheering
“you lost the league at Goodison Park” after being the last team to take points off of LFC in the PL with a 0-0 draw.
 
Mechi ya man u mtaikumba sanaa ndio iliyowaghalimu saiz mngekuwa mnanyenyua makwapa


Rudishen suti kwenye kabati mpaka hapo june 1 ,


S
Japo spurs sio mtu wa mchezo mchezo
 
Liverpool halisi tuwe wavumilivu mambo mazuri yanakuja suti tulizoshona tutavaa tarehe 1/6 ikishindikana tutavaa kwenye harusi ya Liverpool mwenzetu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…