Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool mkiona namna gani, UEFA naona kabisa Mess kaishikilia

Fanyeni mpango mkachukue epl mapema kabla gurdiola hajaichukua


Kilichobaki ni kuiba kombe, hukuna namna..... Point zote hizo mnatoka zero trophy hii haiwezekani
 
Ukisikia mtaka yote kwa pupaa hukosa yote

Ndio liverpool
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji4][emoji4][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu msimu liverpool hamtausahau
 
Toka tulippfungwa na city kwa uzembe Wa klop kupanga kikosi cha kijinga,ndipo nilipopoteza matumaini ya ubingwa.kama klopnataendelea na wachezaji wake akina herndson na milner hatutakuja kuchukua kombe lolote.
Hata hivyo hatujabeba kombe kutokana na kiburi cha klop kutaka kuwaonyesha watu kuwa yeye yupo sahihi
 
Mbona umepanik kiongozi,

Kwan hujazoea kutoka kapa,mbona kwenye jukwaa la arsenal na man u unapayuka sana,kwann unakuwa mkali ?

Hahaaaaa

30yrs loading.....
Mnafiki Mkubwa huyo,keshazoea kujikaliaga bila kitu halafu Leo anawaka utadhani hawajazoea hiyo hali
 

Hahaha, Mzee wa Liverpool Fake wana Shetani, sisi Liverpool HALISI tuna Mungu.

Naona waliosemwa wana shetani kama wanaelekea kushinda.
 
LIVERPOOL:
You'll never walk alone.
We will be with you even in this hardship you are passing through today
 
Tuendeleee kushona suti wakuu! Kwanza tunaanza wa kumuuwa babu yao Barca leo kwa comeback ya kufa mtu

Jumapili tutamchinja Wolves huku Brghton akifanya yake.

We never gonna stop, we never quit. #YNWA
Weka akiba ya maneno ili yaje kuwa ushuhuda wa kitakachotokea kwako muda mfupi ujao kuanzia sasa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…