Don njinji
JF-Expert Member
- Dec 29, 2017
- 688
- 1,556
Watasambaa kwa lazima Leo,an uzuri bado zitabaki mechi tatu so lolote fresh tu.ILA BADO HAITOI MACHUNGU YA KUIOMBEA MEMA MAN UTD MAANA NAJIONA MSALITI.SIJAWAHI KUWAZA KUWA KUNA SIKU NTAIOMBEA MAN UNTD DROO..MAANA NIKISEMA USHINDI NTAUMIA ZAIDI NI BORA WADROO WASISHINDE.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbona unateseka sanaa mkuu
Kweli mpira unaweza kondesha watu
Leo man u kumpiga man city ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano
Tatizo man u hawajitumi kabisa, hawasambai kutafuta mipira, yaani wanakeree balaa, wakicheza kama walivocheza juzi basi watapata tabu sanaa city hatawaacha
Waka hata nyumba mkuuNdugu zangu kubalance maumivu tumbetie man city mkwanja wa maana akishinda unajipoza na hela akidro or kufungwa basi burudan
Wing progression itategemea sana nidhamu ya hawa road runners wetu wawili, Robretson na Trent... of late wamekua very careless (maybe Gini and Milner used to provide much needed cover and discipline)Barça can Kill us kwa kutumia wing-progression.
i'd like kuona Klopp anaenda Camp Nou na hiyo MF (Faby/Naby/Jordan), but honestly sioni kama atakuwa tayari ku-risk it all, alienda na Brexit MF away at Bayern kwenye game ambayo tulikuwa tunahitaji sana ushindi, so kwa game ya Barça ambayo draw itatosha sidhan kama ata-set MF ya kushambulia zaidi.
Leo refa kawabeba unaleta jeuri, wakati mmepigwa kimoja ulijipiga ban
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Nadhani hii ni akili kubwa sana kuwahi kutokea kwenye hii gameNdugu zangu kubalance maumivu tumbetie man city mkwanja wa maana akishinda unajipoza na hela akidro or kufungwa basi burudan
duh katika yote hii imenifurahisha...all th best.Ndugu zangu kubalance maumivu tumbetie man city mkwanja wa maana akishinda unajipoza na hela akidro or kufungwa basi burudan
he surely deserve that award...wrap that with EPL winner medal n what a season t il be...Vvd wins the PFA Player of The Year Award.. [emoji123][emoji123]