Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
My worries
Vvd suspended next round, and all potential opponents wanatisha
Gomez, Trent, matip,clyne, out injured againts manure... Tumeanza kuwa hit na December curse
My worries
Vvd suspended next round, and all potential opponents wanatisha
Gomez, Trent, matip,clyne, out injured againts manure... Tumeanza kuwa hit na December curse
Hahahhhhaha na atawatoa jasho ile mbaya.Sasa wale Chelshit na Arsenal Napoli wenu muliekuwa Mukimsifu Kuwa Hafungiki tunawaletea Nyinyi huko Kwenye FUTUHI jipangeni kupambana naye
Mkuu mbona unapenda ligi?Klopp is NOT a great Manager
Hayupo hata close kwa Pep
BVB walituuzia fwamba
Haya ni maneno yenu sio mm,tunao mtetea Klopp hapa tunafahamiana,ww na wenzako mnakuwa Liverpool team inapo fanya vyema tu!
Mungu wenu Pep kapoteza pia uongozi wa EPL kwa kocha ambaye sio world class manager!
Ahahaha !
Mkuu huu ndo uzembe mdogo mdogo wa klopp tunao ukataaga watu huwa hawaelewi kua kwnn kunamuda tunampingaJamaa ana gubu kama za kina mama, akishikilia kitu anakomaa nacho hata umweleweshe vipi hakwelewi.
Matter of fact, hatukutakiwi kuwa kwenye position hii ya kutafuta nafasi last minute kama siyo makosa ya Klopp. Asingewadharau Red Stars tungeshinda na hivyo tungebaki tunatafuta droo tu.
Sasa kwa kuingia 16 bora tayari tunalazimishwa kwamba he is a World Class Manager!
He needs to prove it by winning EPL this season. Otherwise he is just average.
Sevilla???Kwa timu yangu simuogopi yeyote, hasa hao waitaly,
Huyo napoli msimu uliopita alipiga mpira mkubwa naweza kusema kuliko mwaka huu, mbele ya city, mech zote mbili
Alipishuka europa ,alikutana na kidagaa akatolewa,
Huku timu ngumu ni arsenal na chelsea tu,
Huyo intermilani, napol, hawana ubavu kwa timu za england,
duh kuna majitu leo yatamsifia klopp kwa nguvu zote hawa ni maplastic fan....ngoja yapoteze yatakuja na slogan yao ya tumepoteza kwa uzembe wa kocha
Mkuu huu ndo uzembe mdogo mdogo wa klopp tunao ukataaga watu huwa hawaelewi kua kwnn kunamuda tunampinga
Na waelewe hakuna mtu alie sema sentesi hiz zifuatazo
- kLOPP OUT
- KLOPP NI KOCHA MBAYA
ila huwa tuna pinga baadhi ya vikosi vyake ktk game za maana
Lazima alinganishwe na vingedere yan. Hamuwezi kumuacha Hazard ale maisha.
Alishangilia na alisujudu kushukuru !Kwa siku za hivi karibuni Mo kila akifunga goal hashangilii, sijajua kwa nini. Labda sababu ni kazi yake. Kapiga hatrick dhidi ya Bounemouth lakini hakushangilia. Jana kafunga goal ambalo lilikuwa ni muhimu sana laki hakushangilia.