Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tatizo ni hiyo nusu fainali tutakuwa anfield......mahali ambapo hapatupi matokeo siku za hivi karibuni
 
Tatizo ni hiyo nusu fainali tutakuwa anfield......mahali ambapo hapatupi matokeo siku za hivi karibuni

Ni home and away mkuu, kwa hiyo tufanye hivi; pamoja na 'ubishi' wao, kwao tutawashushia kichapo cha haja.
 
Unamuona Klopp kocha anayejua Aangalii player kaletwa na nani wala nani ili mradi anajua kulisukuma gozi la ng'ombe kwa ustadi wa kawaida basi utang'ara
 
Unamuona Klopp kocha anayejua Aangalii player kaletwa na nani wala nani ili mradi anajua kulisukuma gozi la ng'ombe kwa ustadi wa kawaida basi utang'ara

1449135601415.jpg
 
When you have that, win win form
 

Attachments

  • 1449141345087.jpg
    1449141345087.jpg
    47.4 KB · Views: 160
kumbe wahanga wa br wengi sio sterling tu, huyu dogo Brad Smith naye aligoma kusaini mkataba mpya chini ya br lazima sababu ile 3-5-3 nafasi ya kupata nafasi kikosi cha kwanza ilikuwa finyu.

wakala wake aligoma dogo kusaini kuongeza mkataba akiamini lfc sio mahala sahihi kwa kijana kuimarika.

amefanya majaribio kipindi yupo nje ya mkataba lkn liverpool kwa kumtambua kama mtoto wao kipindi chote ambacho mkataba uliisha waliendelea kumpa mshahara wake.

mwezi novemba ndio wakala wake akawasiliana na liverpool kuuliza kama mkataba bado upo mezani, amesaini mkataba wake na klopp akamchukua moja kwa moja kufanya mazoezi na kikosi cha kwanza na anacheza mechi yake ya pili ya ushindani usiku kuamkia leo kwa kishindo.
 
kumbe wahanga wa br wengi sio sterling tu, huyu dogo Brad Smith naye aligoma kusaini mkataba mpya chini ya br lazima sababu ile 3-5-3 nafasi ya kupata nafasi kikosi cha kwanza ilikuwa finyu.

wakala wake aligoma dogo kusaini kuongeza mkataba akiamini lfc sio mahala sahihi kwa kijana kuimarika.

amefanya majaribio kipindi yupo nje ya mkataba lkn liverpool kwa kumtambua kama mtoto wao kipindi chote ambacho mkataba uliisha waliendelea kumpa mshahara wake.

mwezi novemba ndio wakala wake akawasiliana na liverpool kuuliza kama mkataba bado upo mezani, amesaini mkataba wake na klopp akamchukua moja kwa moja kufanya mazoezi na kikosi cha kwanza na anacheza mechi yake ya pili ya ushindani usiku kuamkia leo kwa kishindo.

Safi sana!!! Dogo Brad Smith yupo vizuri, nimekubali movement zake... He is one for the future.
 
Shikamoo J Klo!

Shortly after taking over, rather than responding to questions on the potential January transfers with a list of names and positions to strengthen, Klopp replied:

?Sometimes I feel I?m the only one in this country who believes in training, only others believe in transfers.?
 
Kama Divock Origi anapiga hat trick basi Ings atakuwa anapiga 5 in one game under klopp
 

Attachments

  • 1449246288490.jpg
    1449246288490.jpg
    21.1 KB · Views: 189

Similar Discussions

Back
Top Bottom