Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wakuu tuko pamoja sana, naona wazee wa magobore kule wameangukia pua! Britania huwa ni pagumu sana, tuone kama vijana wetu watatufurahisha leo... Kila la heri majogoo wote...YNWA.
 
Stoke City wamecheza mpira mtamu sana.
Nategemea ushindi.
 
Tunahitaji tusifungwe hadi halftime na pressure itakuwa kwao so watafanya makosa hapo tutawachapa!!
Team imetulia so far
 
Tunahitaji tusifungwe hadi halftime na pressure itakuwa kwao so watafanya makosa hapo tutawachapa!!
Team imetulia so far

Haya bana, wee toa moyo tu ubaki na kongosho, sie tushazoea presha tangi BR aje Liver
 
Niko ndani mwangu hapa na bendera kubwa sijui kama nitaipeperusha.
 

Attachments

  • 1439134958335.jpg
    61 KB · Views: 112
Dah naona timu yetu haina star hata moja,naona sa hv sisi ndo tuna policy ya kutengeneza mastaa.
 
4-2-3-1 from Rodgers again..

NOTHING HAS CHANGED.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…