Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
- Thread starter
- #81
Mkuu turipotie tu, mbona mimi niliripoti mechi yetu na Sofapaka hadi tunafungwa goli la tatu ndo simu ikaishiwa chaji.
Nimerudi mtani na'report,najua tutasawazisha tu tatizo kuna hatari hiki kipindi cha 2 kitachezwa dk 20 tu,Jamaa wanajiangusha sana