uhuru,radio ya magamba wanatangaza.
Dah kweli mikoani sio mchezo ndo mana mtani mechi zake zote kacheza daslam
Kwa staili hiyo mtani kumbe timu kibao zimesheheni Simba: Yanga-Yondani, Mustapha, Chuji na Nurdin Bakari; Azam-Jabir Aziz na Deo Munishi; Coastal-Said Swedi, Juma Jabu na Jerry Santo.Kagera Sugar imesheheni Simba tupu kuanzia Kocha Kibadeni hadi wachezaji wa ndani to mention few Salum Kanoni na Shija Mkina
Yanga tutakua tunaonewa na hawa marefa,inakuaje hzi timu ndogo zinatusumbua?tumetumia hela nying kusajili,usajili uliokua bora kuliko timu yoyote,lakini ndo hvo,droo 2,2mefungwa 1 tumewin 2,cjui na hii kma tutatoka,mbna mtani ajafungwa?hz ni hira za marefa na tff tu.
Dah kweli mikoani sio mchezo ndo mana mtani mechi zake zote kacheza daslam
Kwa staili hiyo mtani kumbe timu kibao zimesheheni Simba: Yanga-Yondani, Mustapha, Chuji na Nurdin Bakari; Azam-Jabir Aziz na Deo Munishi; Coastal-Said Swedi, Juma Jabu na Jerry Santo.
Mkuu, bado hamjawapinduapindua hao ndugu zangu Kagera Sugar!Duh tumekoswakoswa hapa
Mkuu hiyo technic mlitumia kwenye mechi za kirafiki mkaona sio nzuri, halafu kumbukeni mechi za Kagame Twite ndo aliwanufaisha dhidi ya mechi na APR sasa nyie badala ya kumwacha aende timu pinzani ili awanufaishe nyie mkamchukua tena, pole zenu.Siyo mchezo Kaka ukichukulia sisi ni wa kutafuta matokeo ya uwanjani,hatujazoea ile technic ya wenzetu...tungekuwa tunai'apply ile Kagera wangepungua hlf tukapata na penalt hawa Shomile wangetukoma
Embu tutolee uchuro wako hapa,jana si umepata raha?