Live updates Yanga Vs Kagera Sugar

Live updates Yanga Vs Kagera Sugar

Anselm

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2010
Posts
1,710
Reaction score
291
Dakika kama ya 30 hivi tangu mpira uanze magoli bado ni 0 - 0
 
Kama kawaida ni matukio muhimu tu, Bahanuzi kaumia katolewa na nafasi yake imechukuliwa na Jerry Tegete
 
Chama langu lazima litanipa raha tu
 
Kagera Sugar imesheheni Simba tupu kuanzia Kocha Kibadeni hadi wachezaji wa ndani to mention few Salum Kanoni na Shija Mkina
 
endelea kutupa taarifa ya hiyo mechi tafadhali, maana hakuna radio inayotangaza hiyo ya tbc radio ta taifa kwetu haishiki
 
Hao Kagera wanavyokomaa...sijui wameahidiwa nini?
 
endelea kutupa taarifa ya hiyo mechi tafadhali, maana hakuna radio inayotangaza hiyo ya tbc radio ta taifa kwetu haishiki

uhuru,radio ya magamba wanatangaza.
 
Half time 0 - 0,leo hapa shughuli ipo.
 
Dah kweli mikoani sio mchezo ndo mana mtani mechi zake zote kacheza daslam
 
Back
Top Bottom