Live updates Yanga Vs Kagera Sugar

Live updates Yanga Vs Kagera Sugar

Siyo siri wameniharibia sana mood
 
Hivi kulikuwa na umuhimu gani wa kuwapeleka kule kwa ndege,pumbavu zao kabisa dawa yao wawatie kwenye Coaster mpaka Mwanza Shwaini wakubwa
 
Poleni Yanga, Kaitaba kugumu si mchezo. Ila timueni Manji, kashindwa kazi. Bora mpeni uwenyekiti Mwingulu Nchemba au Lusinde tujue moja:lol:
 
Mwanza wakimaliza mechi wale Mohamed Trans kurudi Dar,pumb*vu zao
 
champions league mtaendelea kuisikilizia kama liverpool.

Nini kushiriki? Liverpool hana cho chote cha ku-prove kwa club yoyote ya England kwani hakuna hata mmoja aliyeifikia rekodi yake ya kubeba UEFA championship (5 times huku anayemfuatilia kwa karibu 3 times). Liverpool ni champion wa kihistoria Ulaya kwa timu zote za England!

Just like Yanga ambavyo imeshiriki CAF championship mara nyingi (23 times) kuliko Simba (17 times) au Azam (0 times!).

Watu wanaoujua mpira hawawezi kuongea kama wewe kuzihusu Liverpool na Yanga. Eboo!!
 
Anselm, Anselm, unanipata? Over! Naomba matokeo, over!au twitter hajacheza nn, si mumpange na Facebook au mpaka simba atangaze kumpa dau?
 
kweli Mungu siyo Twite wala facebook..Yanga 0 na kagera 1
 
Embu jamani mnisaidie hivi hawa Wachezaji wanajua jinsi tunavyoumia wanapofanya ujinga kama huu?...wanajua kweli?
 
Mwanza wakimaliza mechi wale Mohamed Trans kurudi Dar,pumb*vu zao

Take it easy mwana-Yanga mwenzangu...una-behave as if wewe siyo bingwa mzoefu bwana? Yanga always finds a way to bounce back from early set backs like this. Hivi umesahau u-championi wa 2010-2011 tulivyouchukua? That's the character of a champion!

Simba will drop loads of points. Azam likewise. While they will be dropping, the reknowned champions will be amassing theirs!

Take it easy meeen!
 
Refa angekuwa fair alipaswa kuongeza hata dk 10
Full time Yanga 0 - Kagera 1
...kocha bado hajazoeana na wachezaji;alinusulika mechi ya kwanza zidi ya Mnyama kwa kumkamia na kuambulia pointi 1 sasa leo kashikishwa Senene wabichi wakamdonoa kidole kimoja na kuambulia pointi 0.
 
...kocha bado hajazoeana na wachezaji;alinusulika mechi ya kwanza zidi ya Mnyama kwa kumkamia na kuambulia pointi 1 sasa leo kashikishwa Senene wabichi wakamdonoa kidole kimoja na kuambulia pointi 0.

ile mechi simba waliuza ndio maana wakatoa droo
 
Take it easy mwana-Yanga mwenzangu...una-behave as if wewe siyo bingwa mzoefu bwana? Yanga always finds a way to bounce back from early set backs like this. Hivi umesahau u-championi wa 2010-2011 tulivyouchukua? That's the character of a champion!

Simba will drop loads of points. Azam likewise. While they will be dropping, the reknowned champions will be amassing theirs!

Take it easy meeen!
I know Brother lkn wanatunyong'oshesha sana hapa Mjini,hlf mi nikiangalia sababu ya msingi siioni team nzuri huduma nzuri lkn matokeo ya ajabuajabu kama haya
 
Back
Top Bottom