dabo kliki
Member
- Sep 19, 2012
- 47
- 5
Tisha toto hiyo ni ngumu kumeza!
Mwanza wakimaliza mechi wale Mohamed Trans kurudi Dar,pumb*vu zao
Pole sana kaka.its the time to give up. Jiandaeni na msimu unaokuja tu huu hapa kimeshawaka
....huwa hamuchelewi kuwatolea macho vijana wetu wa kambi ya ulinzi:-Shomali Kapombe na Paul Ngalema wakiwa na kaka yao Said Nassoro ''Chollo''Dah mwaka wa shetani huu.
poleni yanga
No freaking way! Yanga mwaka huu atakuwa champion.
Simba endeleeni kujifariji tu.
Dakika kama ya 30 hivi tangu mpira uanze magoli bado ni 0 - 0
Yanga kushuka daraja mwaka huu pumb.u zao..
Inawezekana ile mechi Simba ilikua aue tena mapema tu.ile mechi simba waliuza ndio maana wakatoa droo
Other things remain constant...kwamba mechi zilizobaki zote tupigwe na nyinyi mpige kitu ambacho kipo out of your hands
Inawezekana ile mechi Simba ilikua aue tena mapema tu.
Mpira ungekuwa unafanyiwa analysis kwa reasoning ya aina yako basi Spain mwaka huu bingwa ni Barca na runner up ni Athletico Madrid! Wotsa???
Sasa tisha toto wewe mwenyewe angalia tu. Kuna mtu gani Yanga pale wa kuibeba timu hadi mchhukue kombe?
Kagame nani alibeba??
nimesoma kwenye blog fulani ivi....kanda2 alikuwa kapigwa kimoja...dk 70...
hahahahahhahahahhhahhahaahahhaahhahh refa anawapendelea kagera na wanajipatia goli hapa