LIVE UPDATES:: Yanga V JKT Ruvu, UWANJA WA TAIFA.

LIVE UPDATES:: Yanga V JKT Ruvu, UWANJA WA TAIFA.

Kwa kweli Tanzania hatuna timu za maana (Yanga pamoja na kuongoza magoli matatu wanabutua butua tu na wengi wako timu ya Taifa halafu wanawakilisha nchi kwenye ligi ya mabingwa) sasa najua kwa nini Taifa star haifanyi vizuri na hata mashindano ya CAF vilabu vyetu havifanyi vizuri, Asante Azam TV kutuonyesha uozo wa ligi yetu.

Mkuu, unachokisema kinaweza kuwa kweli lakini hili tatizo litakuwa si la Tz pekee bali Cecafa countries zote, maana Yanga hao hao unaowaponda wamekuwa wakibeba Kagame back-to-back!

Pia tukumbuke Chelsea alichukua UEFA Champions League 2012 kwa kubutuabutua hivo hivo kuanzia semi- final hadi final...

Pia mkuu, embu tuwe wakweli kidogo.... inawezekana pia comment yako hapo juu imekuwa prompted na kawivu kidogo kwa mpinzani wako wa jadi kwa vile unaona anafanikiwa!!
 
Yanga Ishinde Isishinde huwa haina vurugu.
 
leo naona wachezaji wa yanga wamekubali kuhojiwa naona ujinga unaanza kuwatoka sana..
 
Hongereni! Ila na wasiwasi na Manji

Hamna lolote....WIVU tu unawasumbua...

Badala ya kuwa na wasiwasi na RAGE unakuwa na wasiwasi na Manji!!!....Unashangaza mkuu wangu...

Muwe na wasiwasi na RAGE anayewatoza sare kila siku...

Yanga Daima mbele, nyuma mwiko...

Mechi 3 magoli 10...Hiyo ndo habari ya mujini kwa sasa...
 
Simba anamalizia round I na Ashanti United, kapata point 1 kwa Yanga, Coastal Union, Kagera Sugar na point 0 toka kwa Azam: Je atafanya nini kwa Ashanti?
 
Timu inaongoza kwa magoli manne na haijafungwa goli hata moja, Tegete kakosa magoli matatu ya wazi, Kiiza kakosa magoli matatu ya wazi bado mnasema inacheza vibaya!!!

Ama kucheza vibaya kuna tafsiri mpya?...WANAFIKI, ni wivu tu unawasumbua nyie watu...

Full Time

JKT Ruvu 0-4 Yanga

Mkuu hata hueleweki unachotetea ni nini, kwa hiyo timu kukosa magoli sita ya wazi ndo timu imecheza vizuri? Anyway hongereni kwa kuongoza ligi.
 
Mkuu, unachokisema kinaweza kuwa kweli lakini hili tatizo litakuwa si la Tz pekee bali Cecafa countries zote, maana Yanga hao hao unaowaponda wamekuwa wakibeba Kagame back-to-back!

Pia tukumbuke Chelsea alichukua UEFA Champions League 2012 kwa kubutuabutua hivo hivo kuanzia semi- final hadi final...

Pia mkuu, embu tuwe wakweli kidogo.... inawezekana pia comment yako hapo juu imekuwa prompted na kawivu kidogo kwa mpinzani wako wa jadi kwa vile unaona anafanikiwa!!

hawa yanga wenyewe wanachukua kombe wakiwa bongo ila sehemu zingine vichapo tu..
 
Jkt wamepga mpira wa maana second half. Yanga imeshnda ila kpnd cha pili wamebutua sana. Halaf yanga hawana pumzi ya kucheza dakika zote tisini.
 
leo naona wachezaji wa yanga wamekubali kuhojiwa naona ujinga unaanza kuwatoka sana..
Si ndo hawa walikuwa hawataki kuonyeshwa kwenye TV, maana hata mashabiki wao humu JF inavyoonekana wanacomment baada ya kuona kwenye TV sasa sijui kwa nini macho kodo kwenye TV wakati walikuwa hawataki mechi zao zionyeshwe.
 
Simba anamalizia round I na Ashanti United, kapata point 1 kwa Yanga, Coastal Union, Kagera Sugar na point 0 toka kwa Azam: Je atafanya nini kwa Ashanti?

Simba akikomaa droo vinginevyo anapigwa.
 
Yanga ni timu ya dk 45 tu kipindi cha pili hawakufanya la maana, wachezaji walionyesha kuchoka sana
 
Yanga anamaliza na nani mechi ya mwisho?
 
Back
Top Bottom