palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,463
hivi mbeya city wanacheza lini vile
hahahahaha...mkuu kwani vipi?
Hatuwezi kuvunja viti hatujatoroka milembe
Hatuwezi kuvunja viti hatujatoroka milembe
yaani ingekuwa ni kwenye redio tungekomaa maana yanga hamna wanachokicheza ingawa wanaongoza..
Simba na coastal union walishacheza?
yeleiiiwiiiiiii.nadhani ndio mechi inayofata sasa.
hata yanga nao ni vibonde pia..
nadhani ndio mechi inayofata sasa.
Mkuu kwani kuna haja ya kubishana, mashindano ya CECAFA hayako mbali na mashindano ya CAF club bingwa ambao nyie ni wawakilishi hayako mbali vile vile, ngoja mkakutane na mabingwa wenzenu ndo mtaenda kubishana nao huko.Huna lolote mtani...Kijiba cha roho tu kinakusumbua...
Dakika ya 80
JKT Ruvu 0-3 Yanga
Point 3 swaaaaafi...
Salamu zao wataalamu wa sare..
Kelvin Yondan nje, Reliant Luasajo ndani...
Unataka wacheze soka linalokuvutia?...
Vipi wanaocheza soka la 'kuvutia' na wanaambulia point 1 ama kufungwa?..m
Mourinho pamoja na ubora wake timu yake haisifiwi kwa kucheza vizuri, yeye huwafundisha namna ya kufunga na kupaki bus...anachotaka ni point 3 tu..
Btw...Sishangai kauli hizi kutoka kwa mashabiki wa Simba na Azam
Siwaoni humu mkuu sijui wako wapi hawa jamaa.