LIVE UPDATES:: Yanga V JKT Ruvu, UWANJA WA TAIFA.

LIVE UPDATES:: Yanga V JKT Ruvu, UWANJA WA TAIFA.

Mkuu hata hueleweki unachotetea ni nini, kwa hiyo timu kukosa magoli sita ya wazi ndo timu imecheza vizuri? Anyway hongereni kwa kuongoza ligi.
Unachotakiwa kunielewa ni kwamba JKT Ruvu 0-4 Yanga...

Hayo mengine ni ya kwenu wazee wa sare..sisi tunachoangalia ni ushindi mnono wa magoli manne na point 3 basi..

Hizo nyingine porojo tu...tushazizoea kutoka kwa mashabiki wa Simba na Azam...
 
Yanga wana tushikia nafasi yetu. Kesho tuta fanya mauji ya kimbari na kurudi kileleni kama kawa. Viva Azam. sei o seú curaçao não gosta este quipà más ad gostar qualquer dia.

Hapo mlipo si ndiyo nafasi yenu ya kila mwaka, mnataka muende wapi tena? Azam ni wa kubaki hapo hapo kama Kapeto.
 
1383318712227.jpg
mia
 
Ombi kwa Azam Tv.Waandae CD za michezo ya Yanga ili siku tukimaliza ligi na ubingwa wetu ni kujikumbusha tuuu.
 
Si ndo hawa walikuwa hawataki kuonyeshwa kwenye TV, maana hata mashabiki wao humu JF inavyoonekana wanacomment baada ya kuona kwenye TV sasa sijui kwa nini macho kodo kwenye TV wakati walikuwa hawataki mechi zao zionyeshwe.

Tulikuwa na madai yetu, yametekelezwa, tugomee nini? Una hasira na ushindi wetu wewe!
 
Simba anamalizia round I na Ashanti United, kapata point 1 kwa Yanga, Coastal Union, Kagera Sugar na point 0 toka kwa Azam: Je atafanya nini kwa Ashanti?

Si unajua Ashanti walivyobadilika mkuu, we subiri jamaa watang'oa magoli au score board itakapoonyesha Ashanti 1 Simba 0.
 
Back
Top Bottom