Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,825
Yatasemwa mengi sana wakuu:
Lakini matokeo ya jana ni:
JKT Ruvu 0-4 Yanga
Lakini matokeo ya jana ni:
JKT Ruvu 0-4 Yanga
Yanga wameharibu rekodi ya tatu tatu.Yatasemwa mengi sana wakuu:
Lakini matokeo ya jana ni:
JKT Ruvu 0-4 Yanga
Kawaida jke hutangulia mbele na hatimaye "DUME" kukamilisha mxafara,...
Wajeda wa JKT Oljoro...
Yanga wameharibu rekodi ya tatu tatu.
Unakusudia sheria ya kurudia penalti ilitungwa na CECAFA tu, tena kwa mashindano ya Klabu zake bingwa tu, tena siku ilipocheza Yanga tu?Kwa hiyo na wenyewe kila walipokuwa wanakosa penati zilikuwa zinarudiwa?
Unakusudia sheria ya kurudia penalti ilitungwa na CECAFA tu, tena kwa mashindano ya Klabu zake bingwa tu, tena siku ilipocheza Yanga tu?
Kwenye mawasiliano yoyote, kinachokusudiwa kufikishwa ni ujumbe. Unaweza kufikishwa kwa njia ya amri, swala, jawabu au mshangao, iwe kwa maandishi, kauli ya mdomo, hatimkato au vyovyote vingine. Inavyoelekea ujumbe umekufika, na ndio madhumuni yangu.Jibu swali sio na wewe kuniuliza swali, kwa sababu umeamua kurelate, relate kila kitu na sio kuchukua nusu nusu halafu unataka mimi ndo nijibu maswali yako.