LIVE UPDATES:: Yanga V JKT Ruvu, UWANJA WA TAIFA.

LIVE UPDATES:: Yanga V JKT Ruvu, UWANJA WA TAIFA.

Mkuu kwani kuna haja ya kubishana, mashindano ya CECAFA hayako mbali na mashindano ya CAF club bingwa ambao nyie ni wawakilishi hayako mbali vile vile, ngoja mkakutane na mabingwa wenzenu ndo mtaenda kubishana nao huko.
Matokeo ya leo ni:

JKT Ruvu 0-4 Yanga

Yanga wanaondoka na point 3 na kwenda kileleni mwa ligi....

Hizo nyingine ni porojo tu mkuu wangu....Sorry
 
Mkuu, unachokisema kinaweza kuwa kweli lakini hili tatizo litakuwa si la Tz pekee bali Cecafa countries zote, maana Yanga hao hao unaowaponda wamekuwa wakibeba Kagame back-to-back!

Pia tukumbuke Chelsea alichukua UEFA Champions League 2012 kwa kubutuabutua hivo hivo kuanzia semi- final hadi final...

Pia mkuu, embu tuwe wakweli kidogo.... inawezekana pia comment yako hapo juu imekuwa prompted na kawivu kidogo kwa mpinzani wako wa jadi kwa vile unaona anafanikiwa!!
Ni kweli mkuu sijawahi kushabikia Yanga maisha yangu yote na sitakuja kushabikia lakini mimi sina wivu wa hivyo na wala sina ushabiki wa mihemuko penye ukweli tunasema hata jana kama ulifuatilia ule uzi wa Simba na Kagera baada ya kipindi cha kwanza nilisema Simba pamoja na kuongoza hawakucheza vizuri kwa hiyo sina upofu wa kishabiki, mnaweza kuwa bora kwa sababu mnafunga magoli na sasa mnaongoza ligi lakini ukitaka kujiridhisha kama ni bora kweli angalia kwenye timu tatu zinazofuatia mmechukua pointi ngapi?

Kwa sasa ukiniuliza kikosi imara kabisa kwenye ligi yetu nitakwambia Azam, Mbeya City sijawaona hata Coastal sijawaona hivyo siwezi kucomment, offcourse hata nyie ni bora kuliko sisi lakini kumbukeni mnawakilisha nchi kwenye ligi ya mabingwa kosa kosa zenu mwaka juzi ziliwacost dhidi ya Zamalek, mlistahili kushinda uwanja wa Taifa tena kwa magoli mengi, lakini kwa kukosa umakini mkaishia droo na ugenini wenzenu wakashinda na kutupwa nje ya mashindano round ya kwanza.

Acha kulinganisha na Chelsea wenzetu wanajua wanachokifanya na wachezaji wao ni first class wanaweza kucheza timu yoyote hapa duniani, wanapozuia waakuwa wanajua wanafanya nini na ndo maana wana nidhamu ya kukaba.

Ubingwa wa Kagame mara mbili mfululizo wakati Tenga akiwa m/kiti wa CECAFA sio wa kuringia sana, kumbuka mwaka ule kuingia robo fainali na nusu fainali penati zilivyokuwa zinarudiwa rudiwa, ile hali sio hali ya kawaida.

Pamoja na yote hayo nawapongeza kwa ushindi wa leo na kuongoza ligi.
 
hawa yanga wenyewe wanachukua kombe wakiwa bongo ila sehemu zingine vichapo tu..

Hello!!?? Umeanza kushabikia mpira lini?

Yanga bingwa Cecafa mara 5...katika hizi imechukua mara 2 nje ya Tz. Upo?

Simba yenu ni bingwa mara 6.....zote hapahapa Bongo(usihesabu ile ya Zenj maana hata Yanga alibeba kule).
 
Washindi wa sare mbona mnalalama? Tulieni msikilizie utamu muone 'mkuna na mkunwa nani huona raha?'
 
Simba wamebakia kujifariji na 3 walizo rudisha

Tofauti yao na sisi ni kuwa TUNATAKA UBINGWA lakini wao wanataka tu wasifungwe na Yanga. Mwisho wa siku wanabaki kufanya fujo na kung'oa viti uwanjani.
 
Mkuu, nakupata ... kwa hiyo kwa lugha nyingine mpira/ubora wa timu ni magoli na kupaki 'bus'?!
Matokeo ya leo ni:

JKT Ruvu 0-4 Yanga

Yanga wanaondoka na point 3 na kwenda kileleni mwa ligi....

Hizo nyingine ni porojo tu mkuu wangu....Sorry
 
Hello!!?? Umeanza kushabikia mpira lini?

Yanga bingwa Cecafa mara 5...katika hizi imechukua mara 2 nje ya Tz. Upo?

Simba yenu ni bingwa mara 6.....zote hapahapa Bongo(usihesabu ile ya Zenj maana hata Yanga alibeba kule).

Msamehe, hajui alisemalo.
 
Tofauti yao na sisi ni kuwa TUNATAKA UBINGWA lakini wao wanataka tu wasifungwe na Yanga. Mwisho wa siku wanabaki kufanya fujo na kung'oa viti uwanjani.

Hahaha kweli kabisa upo sahihi zile 3 wanashangilia mpaka kesho sisi akili na fikra zipo kubeba ndoo.
 
Ipo wazi Simba hawezi mfunga Ashanti labda Ulimboka atumwe bila TAKUKURU kujua.
haya madharau ya yanga huwa naonaga heri si tuwafunge kuliko hata ubingwa
 
Yanga anamaliza raundi ya kwanza na JKT Oljoro uwanja wa Taifa....Itakuwa tarehe 07/11/2013

Mimi naisubiria kwa hamu sana mechi ya Azam na Mbeya City...nahisi itakuwa mechi nzuri sana.
 
Back
Top Bottom