Live Updates: VPL 1 Feb. 2014

Live Updates: VPL 1 Feb. 2014

yale yale, fact ni kwamba Simba na Yanga ni timu kongwe,Azam ni timu kubwa
Unachanganya madesa, sema Simba na Yanga ni timu za wanachama na Azam ni timu inamilikiwa na tajiri. Azam kama timu haina chochote na wala haijawahi kuwaingizia faida wamiliki wake mishahara wanayolipwa haitokani na mpira lakini inatokana na mauzo mengine ya bidhaa za Azam. Kwa hiyo kusema Azam ni timu kubwa si kweli haina ukubwa wowote, ukubwa wa timu hupimwa kwa kuangalia mataji iliyochukua pamoja na base ya mashabiki, Azam zaidi ya kombe la mapinduzi na lile la Uhai imechukua kombe gani tena? Mashabiki wa Azam hata humu JF sijui kama wanafika hata watano.
 
Unachanganya madesa, sema Simba na Yanga ni timu za wanachama na Azam ni timu inamilikiwa na tajiri. Azam kama timu haina chochote na wala haijawahi kuwaingizia faida wamiliki wake mishahara wanayolipwa haitokani na mpira lakini inatokana na mauzo mengine ya bidhaa za Azam. Kwa hiyo kusema Azam ni timu kubwa si kweli haina ukubwa wowote, ukubwa wa timu hupimwa kwa kuangalia mataji iliyochukua pamoja na base ya mashabiki, Azam zaidi ya kombe la mapinduzi na lile la Uhai imechukua kombe gani tena? Mashabiki wa Azam hata humu JF sijui kama wanafika hata watano.

Pamoja Mkuu, msg sent!
 
kipindi cha II

dk 3

Simba 3-0 JKT Oljoro
 
mnyama anatishaaa. Lazima Yanga waisome namba
 
Back
Top Bottom