Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,080
- 12,319
Munakuaga wapi?Tambweeeee. Simba 4-0 JKT Oljoro
Munakuaga wapi?Tambweeeee. Simba 4-0 JKT Oljoro
Ushindi wenyewe wa kununua lol!mkuu wangu Makoye Matale, mimi bado nipo Tanga kikazi, nakutegemea sana kupata Live updates za uhakika kutoka huko, natumai bwana mandieta, watu8 na manguli wengine wa jukwaa hili watajumuika nasi!!
Mnyama lazima achinje mtu leo........OVER!!!!
Mkuu umeongea ukweli kabisa, ukitaka ujue ubaya wa timu ya Azam nenda kawaulize wafanyakazi wa viwanda vya Azam, wanaichukia ile timu ni balaa, pesa wanazotakiwa walipwe wao ndio wanachukua wachezaji. Yaan wale wachezaji wanawanyonya wafanyakazi hasa wabeba viroba, Azam sio timu kubwa hata siku moja ila naweza kufananisha na NYAU KWA AJILI YA KUMTISHIA MKUBWA, sijui kama mkubwa anatishiwa nyauUnachanganya madesa, sema Simba na Yanga ni timu za wanachama na Azam ni timu inamilikiwa na tajiri. Azam kama timu haina chochote na wala haijawahi kuwaingizia faida wamiliki wake mishahara wanayolipwa haitokani na mpira lakini inatokana na mauzo mengine ya bidhaa za Azam. Kwa hiyo kusema Azam ni timu kubwa si kweli haina ukubwa wowote, ukubwa wa timu hupimwa kwa kuangalia mataji iliyochukua pamoja na base ya mashabiki, Azam zaidi ya kombe la mapinduzi na lile la Uhai imechukua kombe gani tena? Mashabiki wa Azam hata humu JF sijui kama wanafika hata watano.
TFF waandae mipira ya kutosha
kipindi cha II,
dk 19
Simba 4-0 JKT Oljoro
Mkuu, Makoye Matale pale juu bado ameweka 3-0 ?dk25 kipindi cha II,
Simba 4-0 JKT Oljoro
Hakuna mabadiliko yoyote? nani katoka nani kaingia kwa Simba