Live Updates: VPL 1 Feb. 2014

Live Updates: VPL 1 Feb. 2014

Utajuta kuanzisha thread ya Simba, maana itabidi uwepo hadi mwisho ku.update matokeo. Ni sawa na Juliana Shonza kuanzisha thread ya CHADEMA wakati yeye ni gamba

Siwezi kujuta! Sinywi pombe wala KE, raha yangu ni mpira. Simba wanabahatisha tu, wamekutana na kibonde.
 
mgambo wanaongoza moja bila mfungaji peter michael
 
dk 45, simba wanakosa bao
Simba 3-0 JKT Oljoro
 
3dk+

dk 46,
Simba 3-0 JKT Oljoro
 
Utajuta kuanzisha thread ya Simba, maana itabidi uwepo hadi mwisho ku.update matokeo. Ni sawa na Juliana Shonza kuanzisha thread ya CHADEMA wakati yeye ni gamba

We chizi nini?!

Toa ujinga wako hapa,pelekasiasa zenu za taka maji huko!

Umepakatwaaa nini?!hapa tuko kwenye jukwaa la sport halafu wewe unakuja na siasa,kawatafute hao waume zako wakina shonza muanzishe thread za siasa!!
 
Anaitwa Amis Tambwe Magoli, wale wa upande wa pili wanamwita aka Mapenati.
 
We chizi nini?!

Toa ujinga wako hapa,pelekasiasa zenu za taka maji huko!

Umepakatwaaa nini?!hapa tuko kwenye jukwaa la sport halafu wewe unakuja na siasa,kawatafute hao waume zako wakina shonza muanzishe thread za siasa!!

mkuu wanasiasa huwa tunavumiliana.matusi ya b7 usiyalete huku
 
Mnyama leo kala nini? Mbona anaharibu ladha ya mchezo?
 
Mnyama leo kala nini? Mbona anaharibu ladha ya mchezo?
Mkuu nilisema watajuta kuwa na timu nyingi za jeshi maana ukiwa na kiungo wa dimba la chini aina Mkude unakuwa huna hofu.
 
Back
Top Bottom