Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,754
- Thread starter
- #681
Ha ha ha pacha hata hodi ya vichaa kuna wale ambao ndo wanaanza kupona pona.....Msechu alitokea humu.
Msechu nae kanenepa siku hizi
Ha ha ha pacha hata hodi ya vichaa kuna wale ambao ndo wanaanza kupona pona.....Msechu alitokea humu.
kila kitu huwa naona hakipo sawa kuanzia majaji, washiriki, mamc,wanakitivo,hadi stage.Ha ha ha pacha hata hodi ya vichaa kuna wale ambao ndo wanaanza kupona pona.....Msechu alitokea humu.
hivi Nyambura ni Mkenya au mganda? wananichanganya sana hawa mastar...................
hivi Nyambura ni Mkenya au mganda? wananichanganya sana hawa mastar...................
tanesco walifanya yao best,ila niko mbele ya tbc now. mmh tatizo bss kuwekwa siku moja na tpf.
hata mimi naona nyambura ataseviwa na viewers, bila shaka.
Melissa anajitahd.....
mcheza kwao au ni kipaji anacho?
ndio huyu kaimba wimbo wa Rihanaa......kaimba vizuri kajitahidi
Melissa anajitahd.....
Body lake ni hatari..
kila kitu huwa naona hakipo sawa kuanzia majaji, washiriki, mamc,wanakitivo,hadi stage.
nyambura ni mkenya full tena nahisi ni mkurya
DEMBA, atug Ruttashobolwa Chocs mwallu tedo Little Angel miss strong na wengineo usiku
mwema,ngoja nianze kujiandaa na mkolono kesho nahitajika tena
Jamani nahitaji kura za Shem wenu PATRICK.....pacha DEMBA, Heaven on Earth, Ruttashobolwa, Little Angel, genekai, atug, mwallu
Anajitahidi sana kuimba.na wakenya pia wanavote sana
nyambura ni mkenya full tena nahisi ni mkurya