Leo hakuna kuseviwa na washiriki.. Wote Angel na Jenniffer wametoka. Kavutha kasema watu wawe serious
daaa na bss wangekuwa hivi watu wangekuwa serious sana.
daa nivizuri watu wawe wanatumia nafasi wanazo pewa si kufanya mchezo.
daa nimesikitika sana. huyu kavuta bhana.
Yaa leo ni siku ya probation and unasahau maneno ya wimbo it shows ni kiac gani mtu asivyo serious
ntashindwa tazama sasa
Angel out?
ina sikitisha sana.
yaani leo nimenyong'onyea sana.
DEMBA my dia jana si nilitoka nikachelewa kurudi home na kisim changu chaHeaven on Earth bana ndio nini jana kutukimbia wenzako?
atug poa niliona marudio leo ITV,nikapitia na comments zenu hum nilikuwa nachekajeJaman Heaven on Earth polee kumbe hukuangalia. Angel alitoka na mwenzake Jenniffer.. Abt ma number ask for it and u will b given
Mapemaaaa......ndani ya mjengo,Sasa kila mtu atafute kichaka maana wa TZ km kawaida yetu kabaki huyo Hisia.
Nje ya Tanzania me wangu yule kijana Mburundi!!!