mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,054
- 5,432
Tusi jingine: Yeyote asiyejali waliofikwa na maafa au anayewatetea waliotupa bomu au anayedhihaki kuwa ni kujitoa mhanga huyo siyo mtu: Ni cross ya Binadamu na SOKWE!! kama akina Mwigu!mkuu punguza jazba, jenga hoja, matusi hayafai hapa jukwaani.hiyo ni imani yake kuwa mmejilipua, ni vyema umshawishi vinginevyo kuliko kutukana