Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Jamani tuweni waungwana, hivi timu yetu ni mbovu kiasi hicho? acheni mambo yenu bana ya kuona wachezaji wazuri wako kwenu, na mngekuwa na timu yenye vipaji vingi na bora kama Azam sijui ingekuwaje.
Bas tuseme leo Polisi mpira umewakataa mana'ke Jamaa yangu yuko uwanjani anasema hajawahi kuiona Polisi ikicheza mpira wa hovyo kama leo,wanafanya makosa ya kijinga sn