Updates zitakuwepo kutoka kote kote Wakuu. Azam FC wameonesha uanamichezo wa hali ya juu, sina sababu ya kuizomea Azam FC kwa leo. Kila la heri Azam FC.
Kwa upande wa pili, mashabiki ya mikia yameshindwa kabisa kubadilika. Naitakia Simba kila la shari katika mechi yao ya leo na Polisi Morogoro.
Dakika ya 4: Polisi 0-0 Simba.
Mkuu Makoye Matale, game la simba dhidi ya polisi moro inaoneshwa live!!?
Dakika ya 11: Polisi 0-0 Simba.
Dakika ya 15, murshid mganda huyu jezi namba 23 anaipatia Simba goli la kwanza
Simba ina viongozi wa ajabu sana,walimtoa Tambwe sijui kwa sababu zipi then wanamwacha Maguri pale...sioni uwezo wowote wa maguli zaidi ya kukimbia kimbia na hizo nguvu wanazosema sijui zipo wapi....simba haina viungo wazuri na haina washambuliaji wazuri zaidi ya Okwi nani mwingine....katikati akiumia Mkude na kidogo midfielder mmoja jina limenitoka Simba haina lolote...hakuna kulaumu kuhusu sare tunazopata bali hakuna usajili pale..wanakera na wanaboa.kombe lina miaka na miaka haligusi msimbazi
Dakika ya 15, murshid mganda huyu jezi namba 23 anaipatia Simba goli la kwanza
Nimemiss kufungwa na Yanga
Maguli amesha athirika na kile kitendo alichofanyiwa na mchezaji wa Mbeya City.
Tusianze kumtupia majungu.!
Nyie mlichokosea ni kumwacha tabwe na kuchukua okwi, ili muwakomoe yanga.