grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Kwa miaka takribani 5 nyongo ya kufungwa na Simba imejaa miilini mwao pa kuitolea hakuna sasa wamebakia kualika vitimu vya daraja la kwanza sijui Mwadui, Toto kuja kuifunga Simba, wako mbona wameshindwa. Pumbavu.......Bora yanga afungwe na stand united kuliko kufungwa na simba chakushangaza sasa sikumbuki mara ya mwisho walipata raha hio lini. Itakuwa zaman eh😕😀
Huyo Mwadui mwenyewe alikuja DSM juzi juzi hapa akaomba mechi ya kirafiki akaaumbulia kipigo cha bao 4.