Yani Diamond sio muongeaji kabisa ukicompare na maneno au njama mbovu anazofanyiwa huyu kjana ad sometimes nasema anaUvumilivu sana yy ni kazi tu ndio zinatoa majibu" cjawah ona karopoka ujinga zaid ya maneno anayowekewa tu, anajua kujielezea kwenye media sana pia.
ahahahahaa anaimba nyimbo utadhani alijua kitakachotokea!!yaani sasa hivi haters kila watakapo sikia mziki na nyimbo ya diamond basi moyo unawalipuka tu lipuuuuu
yaani leo amejua kujitia aibu bora tu angekaa kimya akaendelea na unafiki wake wa chinichini!,siku ile alivyokajimaliza na kijisifia kwamba yeye ni strong woman akiamua kutumia nguvu na uwezo wake kweye ktma,halafu diamond akakaa kimya alijiona anaogopwa au?halafu team chibu tulimuheshimu sana tu,hata baada ya zile tuzo watu hawakumtukana zaidi ya kumuonya tu
Sasa leo nahisi anajiharishia huko mbwa zake yule
Dinazarde sijui kazama ziwaniii....
Dinazarde sijui kazama ziwaniii....
Ndio inaendelea vote vote vooootee for davido teh teh!
kwanza ameambiwa neno gani la kashfa jokate leo?!sijaona neno baya aliloambiwa zaidi ya mtanyooka tu!nashangaa amejiongeza maswali na majibu kibaoo
Anajiuliza mwenyewe,anajijibu mwenyewe,anashangaa mwenyewe na kujionea huruma mwenyewe
Hahahahahajhahahahahahahaha unalipuka puuuuuuuuuui!!!!!!
Haha kapanic kajibu libarua kwa caption ya Mondi ya maneno mawili tu.
Kabisaa!ukipitia post zote za diamond kwenye page yake ya Insta hakuna hata picha moja ya Wema!katika madame zake wote kuna picha ya jokate tuu tena ziko kama tano hivii,kuonyesha jinsi gani hanachuki nae.
Sasa jojo akajifanya nayeye utoto wa mjini anauweza wakati hauwezi kabisaa!!ye zake ujasiriamali na kukusanya fedha basiii!!
Jokate aliheshimiwa lakini yeye mwenyewe amechoka kuheshimiwa sooo ngoja apewe anachokitaka
Hahahaaa yaani kati ya watu ambao sitakagi kuwachamba ni hiki kidada kinachoitwa kidoti chenye kidoti kama mimi! Kwasababu huwa naheshimu the fact that the dudette huwa anahangaika na maisha yake. Japo unafiki wake ninaufahamu fika!
Ila kwakuwa kakitibua leo lazima tulale nae. Hhahaha ila vichambo vya watu mi sina hamu!
Hahahaaa yaani kati ya watu ambao sitakagi kuwachamba ni hiki kidada kinachoitwa kidoti chenye kidoti kama mimi! Kwasababu huwa naheshimu the fact that the dudette huwa anahangaika na maisha yake. Japo unafiki wake ninaufahamu fika!
Ila kwakuwa kakitibua leo lazima tulale nae. Hhahaha ila vichambo vya watu mi sina hamu!
Hahahaaa nimepitwa uwiiiiiiiii kumbe mambo matamu hivyo? Romy ndo kajibu hivyo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahahaaa nimecheka Romy alivyojibu jamani! Eti huyo kidoti anamuuliza Babu tale hadi wewe? Kwani Vepeeee ye alitakaje? Afanye unafiki afu tumchekee au? Hapa za Uso tu kwa kwenda mbele ukimind tembea uchi kama Shardcole.
jokate ndio kachemsha zaidi mbrlaz eti kadai kideo cha mwaka jana ligazeti lake limejaa wivu, bikra wa kisukuma kamshushua ni ya Feb mwaka huu, alikuwa anajigonga kwa Chibu kupitia watu naona yupo bizi na Zari alichuniwa as hakumrusha kwenye insta yake. akasubiri wee Chibu harushi ndio akaamua kukimbilia kuonyesha yeye bingwa wa kuomba asipigiwe kura na kuongea kwenye redio eti yeye kafanya akose za ktma na picha wakapiga na wema...naniii na mahaba hawayaoni kwa wengine. sasa kapatikana chezea Chibu na akili mingi kumbe aliiweka kideo. mume wa Zari huyoooooooo.
akome na analo
na kuna walio mtafuta Chibu juzi na meseji sema Zari hajawaanika tu
jokate ndio kachemsha zaidi mbrlaz eti kadai kideo cha mwaka jana ligazeti lake limejaa wivu, bikra wa kisukuma kamshushua ni ya Feb mwaka huu, alikuwa anajigonga kwa Chibu kupitia watu naona yupo bizi na Zari alichuniwa as hakumrusha kwenye insta yake. akasubiri wee Chibu harushi ndio akaamua kukimbilia kuonyesha yeye bingwa wa kuomba asipigiwe kura na kuongea kwenye redio eti yeye kafanya akose za ktma na picha wakapiga na wema...naniii na mahaba hawayaoni kwa wengine. sasa kapatikana chezea Chibu na akili mingi kumbe aliiweka kideo. mume wa Zari huyoooooooo.
akome na analo
na kuna walio mtafuta Chibu juzi na meseji sema Zari hajawaanika tu