Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,948
- 2,112
Kwann achukue kama siyo mnenguaji bora?
Alichukua kwasababu ni mtumbuizaji bora
Hivi unajua maana ya kutumbuiza ?
Kwann achukue kama siyo mnenguaji bora?
Woyyooooooooooo, Duh huyu Dai angekuwa mume wanguuu huyuuuu, kwa jinsi alivyonipa rahaaaa Leo ningemla na maganda yakeeeeee.......
Wasssssafiii, achana nae asituharibie shughuliii ...shangwe hadi asubuhiiii...
Ahhahaaaaaaaa pole zako tena pole sanaaaaaa!!!ngoja nikuignore maana nikianza kukutandika matusi yangu nitaishia ban ya wiki mbili na zaidi wakati nashangalia ushindi
good night loooser
teh teh lala nishajua tatizo lako ila ungeleta videoz ingekua poa kusindikiza mawazo yako
Nenda YouTube
Usipende kutafuniwa kila kitu utafeli
Get a man!pukaro mapyete
Naandika bila kuogopa MJINGA MWENYEWE
Kiba alichukua tuzo ya MTUMBUIZAJI BORA
Mnenguaji yupo Tandale
Jamaa akipata tuzo hata 1 mi naenda posta nikiwa utupu.
ahahahahaha nimeshtuka hakyamungu najua wanataka mtu aende bann sasa miye leo wamenoaaaa!!nataka niendeleee kuhimiza watu tupige kura kule kwengine sasa nikienda ban itakuaje??haiwezekaniiiii
Asikuangushe king wako ambaye hata nomination hajaambulia akuangushe diamond Pyeeeeeeeeee!
Kwani king wako kachukua ngapi? hahhahha kama nawaona mnavyotafuta pa kufia! East Africa nzima tuna tuzo moja tu hutaki achaaa!
we hujui kitu tulia kiba hawezi date na kidoty kumbuka mwanzo walisema millard kisa ukaribu wao sasa hivi kiba kisa wapo karibu na aliozaa nao watoto je atawapeleka wapiMwambieni na msanii wenu avue basi... Si aliambiwa kuwa na Jokate ndo Uganga
Kuna wachawi wanasheherekea ya davido kama yakwao vile
Kwa tuzo hizi kwa ukanda wa afrika mashariki kachukua mtu mmoja, bado anapigwa madongo, waangalie nigeria nchi moja imebeba ngapi? Ndipo utajua tunasafari ndefu. Tuongezeni wasanii wengi kimataifa na sio kupunguza hicho kimoja tulichonacho
Kumbe unakulaga bila magamba
goodnyt mutoto mwenye akili nyingi
vigezo gani kutumia kumpata mtumbuizaji bora?
Sawa hatujakaa ndo maana sahizi kapelekwa mbugani na tembo nao wapate burudani ake naona mfalme wa mbugani atampa tuzo nyinge na zawadi ya sungura mbili
All DA best alikiba katika kuwatumbizia tembo!
Tatizo lako ni moja tu.. Moja pekee..
Unapenda kujifanya unajua mambo wakati hujui chochote.. Siongelei hapa kwenye mziki pekee, hapana michango yako mingi humu JF ni mtu ambaye hujui vitu ila unaforce kujifanya unavijua. Tatizo lingine kubwa ni kwamba hatukuambiagi tu, ila from now onwards itabidi tuwe tunakwambia ukweli.. teh teh
Khe khe kheeeeeee hahahahaaaaaAaa..
Best male ni DAVIDO JAMANII.
MIMI NI TEAM MUZIKI MUZURI