Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

Wewe si cute kama unavyojiita,cute ni bora nyanja zote,nina wasiwasi medula yk wewe huyo uliisifia tuzo ya kiba as bestlive kinoma,nadhani ulimpenda dai at beginimg ,hukubahatika ht kusheki hand nae badala yk ukajenga hatred inayokutafuna hd leo poleeeeeeeee!!!!!!

Khe khe kheeeeeee hahahahaaaaaAaa..
Best male ni DAVIDO JAMANII.
MIMI NI TEAM MUZIKI MUZURI
 
Kwa tuzo hizi kwa ukanda wa afrika mashariki kachukua mtu mmoja, bado anapigwa madongo, waangalie nigeria nchi moja imebeba ngapi? Ndipo utajua tunasafari ndefu. Tuongezeni wasanii wengi kimataifa na sio kupunguza hicho kimoja tulichonacho
 
Jamaniii hadi hurumaaaa, Sa matusi ya niii ndo # Msiyempenda kashindaaaaaa, jua halizibwi kwa ungoooo.....Wapi Ndovuuuuuu

ahahahahaaaaaaaa!!!wamepagawaaaaa....yamewafika hapaaaaa!leo tuwapotezeee aiseee maana tumeshindaaaa!kuna mazuri mengi yanakuja naona wanataka mtu aende ban sasa mie kwa leo hawanipati may next timeeee
 
vigezo gani kutumia kumpata mtumbuizaji bora?
 
Umenisoma vibaya we chizi

Sijapinga ushindi Wa mtu
Nilitoa opinion yangu

Ulivyokua pimbi umeshindwa kurespect opinion yangu unaleta matusi .
Kumbuka kila mtu ana Uhuru Wa kutoa mawazo yake

Jf sio ya baba ako wala mama ako stuka

teh teh lala nishajua tatizo lako ila ungeleta videoz ingekua poa kusindikiza mawazo yako
 
Ahhahaaaaaaaa pole zako tena pole sanaaaaaa!!!ngoja nikuignore maana nikianza kukutandika matusi yangu nitaishia ban ya wiki mbili na zaidi wakati nashangalia ushindi

good night loooser

Wasssssafiii, achana nae asituharibie shughuliii ...shangwe hadi asubuhiiii...
 
Eti nkumbusheni, kwenye KTMA mnenguaji bora alichukua nani vile?

Alichukua bwana tembo afisa wa mambo flani ya ivory ambae hadi Leo video yke haijawahi onekana mtv base n kule trace wanaipigaga mida saa nane au Tisa ucku cku izi
 
Mkuu umevurugwa sasa tuzo ya mnenguaji bora..anachukua muimbaji bora...
Mjin.ga sana wewe..

Naandika bila kuogopa MJINGA MWENYEWE
Kiba alichukua tuzo ya MTUMBUIZAJI BORA
Mnenguaji yupo Tandale
 
Best male Afrika nzima ni davido yaani hakunaga kama davido.
Tuzo ya maaana

Tatizo lako ni moja tu.. Moja pekee..

Unapenda kujifanya unajua mambo wakati hujui chochote.. Siongelei hapa kwenye mziki pekee, hapana michango yako mingi humu JF ni mtu ambaye hujui vitu ila unaforce kujifanya unavijua. Tatizo lingine kubwa ni kwamba hatukuambiagi tu, ila from now onwards itabidi tuwe tunakwambia ukweli.. teh teh
 
So diamond kapata pesa ya show na pesa ya tuzo maisha yanenda na hapigi show chini ya 15 milioni kwenda south kaenda bure kwa fastjet maisha ya kule MTV wanagharamia kila kitu bureeee daaaah life iz not fair wakati mwingine awaza kupromote show ya Kigali ayaaaaaaaaaa......we saka pesa kaka mondi
 
Africa ni Tanzania tu kuanzia south ni ulaya tuzo wanagawa kiakili sio Kama KTMA kuna mwaka Ktma kuna MTU atakuja chukua tuzo hata 12 kwa Mara moja shame upon them MTV hawajali wewe ni nani mashabiki wana nafasi yao na majaji pia wana nafasi yao then wanao wania tuzo wote wanaitw kuperform means ukikosa kimoja kingne unapata na kuepuka upangaji wa matokeo Ktma wao wanapiga ramli tuuu msanii anaenda hajui Kama atapata au hatapata anapoteza mda wake for nothing

Kuanzia Leo sito fuatiria tena show wala kuangalia tuzo za Ktma mpka watakapo badirika ubabaishaji tuu hongera MTV base

We jamaa unaakili saana
Tuzo za mbuluraa waachie mituzo yao ya kinafiki
 
Kuna mwwnye uhitaji wa ndimu??? pwilo cute b

Asa kumbe anastahili...!!

umefurahi au umechukia japokuwa najua unabanwa na mavi kutokana kubana nya kwa muda mtefu


Getarrraaaaahia yo just a looser.gud for nothing

Anabanwa na kimba huyu jamani.. Msameheni bure

Pilau lote ulilokula lazima uharishe.. Maana digestion ishaharibiwa kabisa na ishindi wa Dai... Poleee mamaa uparato unakubana

Nasema hiviiii.
Tuzo ni kama madini zimetofautiana hadhi...
Hadhi ya DOMO NI KUNENGUA TUU HAMNA NAMNA.
DAVIDO NI MWANAMUZIKI BORA NDO MAANA DAI ALILIJUA HILO MAPEMA AKAWAHI ILI ATOKE KIMATAIFA.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom