Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

KIBAKULI yupo manyara analinda ndovu, hahaha

Hahahaaaaa acha tulinde tembo wew.
VIPI HII HAMKULOGA? NA KUVAA KOTE SUTI MNAAMBULIA YA UNENGUAJI TUU.?
KAIWAKILISHA TANZANIA VYEMA KWENYE MAMBO YA KUKATA MAUNO.
 
I learned alot kwenye tuzo hizi..sio tuzo.za KTMA hazina mantiki,
 
piga kelrleeeeeeeeeeeeeee hahahahaha team kimba wamekaaaaaaaaaaa maniiina mlifikiri basata wale?? best live diamond

Na baada ya hapa tunapandisha dau kwashow 1 mil 100

Hahahaaaa anatisha amemfunika adi shilole
 
davido alikua kweye category nne 4 na ukichanganya na ile ya collabo yake na uhuru zinakua tano5 lakini amepeta moja tuuuu mtv base sio masikharaa

Nilitaka nilale ila nimeghairi maana naona tushaanza kuwangiwa!
Ndo tushachukuaaaaaaaaaaa hawataki wakakate rufaa!
 
Watu wote mnao mchukia Diamond in person ni wenye chuki na.maendeleo ya watu na taifa kwa ujumla..ushauri tafuteni maisha msituletee stress za njaa zenu kwenye maslahi mapana ya taifa.
 
Hivi mpumbavu kama wewe umecheki shoo umeona wanigeria wanavyo support mziki wao.na walivyo wengi kwenye nomination za MTV?alaf unamponda mtu mmoja anaye wakilisha nchi..ujinga mtupu

Sipo kwenye mood leo ya kujibu vibaya niache na furaha yangu.
Kwani Nigeria sio Afrika?
Ebu kuwa mzalendo wew hahahaaaaa mapovu ya nini?
 
Na ile walivua nguo jukwaani wakabaki na vyupi...
Chezeiyaaaaa wanaanzaje kukosa ya unenguajiiiiiii?
kuvua nguo na kubaki uchi jukwaani ni masharty ya tale aloprwa na babu yale wameacha sasa hivi wanavua t shirt tu
 
davido alikua kweye category nne 4 na ukichanganya na ile ya collabo yake na uhuru zinakua tano5 lakini amepeta moja tuuuu mtv base sio masikharaa

MTV hatari sn ila hatimaye diamond baada ya mwaka 2010 n 2014 kukosa tuzo za mtv this time katoka nayo 👏👏
 
Back
Top Bottom