sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Alichukua bwana tembo afisa wa mambo flani ya ivory ambae hadi Leo video yke haijawahi onekana mtv base n kule trace wanaipigaga mida saa nane au Tisa ucku cku izi
Mr Ivory.....
Alichukua bwana tembo afisa wa mambo flani ya ivory ambae hadi Leo video yke haijawahi onekana mtv base n kule trace wanaipigaga mida saa nane au Tisa ucku cku izi
Ally kiba ameingiaje au ndo unaamka ndotoniAngalia perfomance ya jukwaani kati ya ally kiba na diamond then mshindi ndio huyo huyoo
Ndiooo.......
Zaidi ya ushindii....kuwa tuu nominated....
Umenisaidia kujibu hao timu kiba wanataka tupigwe bani. ....------- wakubwa
Naomba unile mimi
Ipi ya heshima?
Unenguaji au uwanamziki bora?
Sema mwenyewe hahahaaaaa akaombe collabo
Nasema hiviiii.
Tuzo ni kama madini zimetofautiana hadhi...
Hadhi ya DOMO NI KUNENGUA TUU HAMNA NAMNA.
DAVIDO NI MWANAMUZIKI BORA NDO MAANA DAI ALILIJUA HILO MAPEMA AKAWAHI ILI ATOKE KIMATAIFA.
Cute b usiku mwema... Ila sikuachi hivi hivi.. Nakuacha kwa hisani ya ndimu 15 na malimao 7... Akija bebe wangu nifah unisaidie kumpa ata kidogoo agaa kidogo.
uwe na domo kubwaa na ukatike mauno sageni unatunukiwa ilevigezo gani kutumia kumpata mtumbuizaji bora?
Ally kiba ameingiaje au ndo unaamka ndotoni
Hahahaaaaaa.....Mwenye nyumba akinipa notice nahamia kwako, manake si kwa kicheko hiki cha usiku usikuuu.....umenichekesha sanaaa
Team tanzania usiku mwemaaaaaaaa
Haha yamekushuka wewe asee.. Sema nini karibu tunywe hapa tusheherekee wote
c uzalendo mi ni mzalendo na nimempigia kura domoAsikuangushe king wako ambaye hata nomination hajaambulia akuangushe diamond Pyeeeeeeeeee!
Kwani king wako kachukua ngapi? hahhahha kama nawaona mnavyotafuta pa kufia! East Africa nzima tuna tuzo moja tu hutaki achaaa!
Nawe pia mama la mamaaa....Aminia sana Campaign manager wetuuuu...!
sijamwongelea kiba,mi nimesema mtumbuizaji bora kwa vigezo gani,ndo huyo hapo juu anaropoka kuleta story za kiba kwamba anaingiajeUnamuongelea huyo pimbi kiba ana nini, tuzo yenyewe walipeana kimagumashi. .hana chochote halafu nyie fans wa the so called pathetic kiba mnatutaftia ban "endeleeni kushear idea na wagumba wachawi nyie"