AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Jamaa akipata tuzo hata 1 mi naenda posta nikiwa utupu.
VeeMoney" I lke her hairstyle purple kama suti ya Mondi.. ACT haha
vanesa bora arudi tu hana chake
Eti huyu naye Vanessa anataka apewe tuzo, heri hata snura ndo angeweza kupambana na yemi Alade.
Kama viungo si sehemu ya utumbuizaji hebu twambie utumbuizaji ni nini?
Kama viungo si sehemu ya utumbuizaji hebu twambie utumbuizaji ni nini?
vanesa bora arudi tu hana chake
Anaweza kumpiku kama majority vote ndio zina toa mshindi!Mwanzo mgumu lkn ndo katoboa hvo years to come akiwa anajitahidi hv hv atachukua tu. Kwa sasa ni ngumu kumpiku Yemi sawa lkn alipofika nipakujivunia sana. Wasanii hujivunia ata nominations tu.
Mie nashika itv na star tv tu, naona umeibuka siku ya tuzo lolTuleteeni updates basi
Mkuu unadhan kutumbuiza (Best live) ni kukata mauno na kucheza kifua wazi kama wana maswezi jukwaani?
Speaking of Alikiba hakustahili ile tunzo hata yeye ana fahamu hilo!Naona naulizwa swali la kujitoa ufahamu kama we unadhan kukata mauono ndo best live basi wakongo wakina Fally ipupa wasingekuwa kuwa na mpinzani kwenye hii category.
Hujui kuimba live basi kaa pemben, hapa leo ndio mtapata somo kwann mtumbuizaji bora alipewa Kiba mpiga live show na sio chibu anayehemea kwenye maiki kama mwana riadha.
Naona naulizwa swali la kujitoa ufahamu kama we unadhan kukata mauono ndo best live basi wakongo wakina Fally ipupa wasingekuwa kuwa na mpinzani kwenye hii category.
Hujui kuimba live basi kaa pemben, hapa leo ndio mtapata somo kwann mtumbuizaji bora alipewa Kiba mpiga live show na sio chibu anayehemea kwenye maiki kama mwana riadha.
Eti huyu naye Vanessa anataka apewe tuzo, heri hata snura ndo angeweza kupambana na yemi Alade.