pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 11,561
- 14,627
poa ??ukiumia sana......kula ndimu
poa ??ukiumia sana......kula ndimu
Nashukuru sana katika maisha yangu sijawahi kuipenda bongo flava ila kila la heri kwa wasanii wote watafutao mafanikio ya kimuziki
Mkuu usiniwekee maneno mdomon tafadhali sana,
Best Female To Come
Kituzo chenyewe kimoja tu, hapa fitina zimefanyika walah hiv kwel Dai best live Act than Mr.Flavour? Haingii akilini ujinga huu.
Shame shame to mtv
Bwana mmoja wa kuitw Eddo Kumwembe aliwahi sema ktk makala zake za michezo kuwwaSoka zima la Tanzania limezidiw akili na mwanamuziki diamond ambaye anaonekana anajua anachokfnya kuliko mchezo wa soka na watu wakeyaaani kwa Tanzania hii...katika sekta zote amebaki chibu tu anaewakilisha vyema nchi....kila kitu tumeshindwa
Tulia mama yani kituzo kimoja cha kupewa kwa hiyana ndo kikulize?
Good work Diamond though am no body team but i like few of your music like UKIMWONA , i wish you win all the awars which you have been shortlisted
Shosti kakosa
Best female ni YEMI ALADE
Du mungu mwenyewe
kumbe uko maskini hivi hata DSTV huna