Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,519
- 32,675
Neyo wa mitego leo kafanya show marekani,au ni neyo gani huyo
[em]Kwani kuna msiba mbona machozi machozi machozi ila Hongera sana Dangote the bin laden ni hatareee[/em]
mama evolution kachukua d banj...
Hapa ndio nimegundua kura sio kila kitu coz searches za hastags mpaka mwisho dbanj alikuwa na 19,000+ wakati j chameleon aliwagalagaza na 72,000+
so sad na ndio waliokuwa supported by wema na kiba
mama evolution kachukua D banj...
Hapa ndio nimegundua kura sio kila kitu coz searches za hastags mpaka mwisho dbanj alikuwa na 19,000+ wakati j chameleon aliwagalagaza na 72,000+
So sad na ndio waliokuwa supported by wema na kiba
Thankyuuuu hatimaye sikukuu..imeisha vizuriiii saana..lol..
Mi mama nimelia mpaka nimechokaaaaaa
Alale huko nani anataka kuona kigovindraaaaaDon forget what you promised....! you will walk naked...to posta
Wakuu tupeni updates mbona kimya tujue mbivu na mbichi
Pole saana.....mamii
Walah kweli Africa bado sana kupiga hatua, eti Dai ni best live than Mr.Flavour? Eeh mola irehem Africa inayoangamiza vipaji vya vijana wako.
hahahahahahahahaa shardcole i love u know, your the base of diamond maendeleo in NEGATIVE WAY U KNOW??? hata mkono wa kulia huwezi fanya kazi vzr bila support ya mkono wa kushoto u know???? haters tunawapenda, kwa ushirikiano mnaotupa daily.
Walah kweli Africa bado sana kupiga hatua, eti Dai ni best live than Mr.Flavour? Eeh mola irehem Africa inayoangamiza vipaji vya vijana wako.
Update ni kwamba kiba bado yupo kwaoWakuu tupeni updates mbona kimya tujue mbivu na mbichi
Kwanza siku yngu leo ilikua na furaha sana!nashangaa kufika saa tatu presha ikaanza kunipanda duuuuh!kijasho kilinitoka,nikawaza tukikosa hata moja itakuwajeeeee!!!nashukuru sana tumeshindaaaa