Unajua kwa nini analia mi binafsi naamini wengi sana wamempigia kampeni na promo diamond kuliko yeye
Walah kweli Africa bado sana kupiga hatua, eti Dai ni best live than Mr.Flavour? Eeh mola irehem Africa inayoangamiza vipaji vya vijana wako.
Mkuu dstv ipo ila tatizo nimezima tv ili nisiendelee kuangalia hujuma zinazofanyika huko mtv eti dai is more than mr.flavour? Duh
Poor black mother
Mwaka Jana Pepe alishinda tuzo ya mchezaji bora wa ureno na mwaka huo huo Cristiano Rinaldo akashinda tuzo ya mchezaji bora wa Dunia so #kamabongo #kamaRonaldo
Yemi alade ni heavy weight ....Vanesa Asife Moyo
Yani kuna watu inapenda sifa du! vodka hapo mezani inahusiana vipi na kukataa kuonyesha online
best male imeenda kwa nani?
Mkuu dstv ipo ila tatizo nimezima tv ili nisiendelee kuangalia hujuma zinazofanyika huko mtv eti dai is more than mr.flavour? Duh
Poor black mother
Kimasomaso...
#sankoro ...
Nimejaa furaha tele mie
Namfurahia Chibu na wote waliovoti, sapoti na mashabiki wote duniani na watanzania wote kwa kupeperushiwa bendera Naseeb.
Award ya MTV sio mchezo ni pambano haswa.
Yani kuna watu inapenda sifa du! vodka hapo mezani inahusiana vipi na kukataa kuonyesha online
Best male imeenda kwa nani?
Maskini vanessa analiaa
Si Ndo Hapo,africa Hatuwez Kuendelea Hujuma Kila Kona Sauz Mpaka Bongo Eti Kiba Ni Best Live Zaid Ya Chibu.Halafu Chibu Ni Best Live Zaid Ya Mr Flavaur? Sio Fair!
Mwache alie kazoea vya mtelezo huyo, heri kidogo hata Mondy juhud huwa anaonesha at least japo hata naye kabebwa lakin atleast anajitahid kutembelea nyota za wanaija. Lakin sio huyo vanesa mnayempa kichwa bure.