Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

Tatizo nyota, mgaga wa domo, mkali kuliko ws raisi ws Tanzania
 
Kwanza siku yngu leo ilikua na furaha sana!nashangaa kufika saa tatu presha ikaanza kunipanda duuuuh!kijasho kilinitoka,nikawaza tukikosa hata moja itakuwajeeeee!!!nashukuru sana tumeshindaaaa

Pole jamani kipenzi, am trying to be into your shoes, inafurahisha hadi inaliza jamani!
 
Kituzo chenyewe kimoja tu, hapa fitina zimefanyika walah hiv kwel Dai best live Act than Mr.Flavour? Haingii akilini ujinga huu.

Shame shame to mtv

Kumbe wehu ni wengi,Mr flavour?????hawezi fika hapo majaji sio KTM award,ni waafrika wanaoujua mziki tulia dawa ikuingie vzr.
 
Nashukuru sana katika maisha yangu sijawahi kuipenda bongo flava ila kila la heri kwa wasanii wote watafutao mafanikio ya kimuziki
 
Leo ndo uzalendo unatajwa hongera mtanzania mwenzetu ha ha ha sipati picha comment zingekua audio, hizo sauti za majonzi weraaaaaa

Kwani sio mtanzania?
Hivi huwa mpoje?
Tukitoa hongera maneno, yani nyie kweli waswahili!
Huyo ni mwafrika mwenzangu kama wewe
 
Good work Diamond though am no body team but i like few of your music like UKIMWONA , i wish you win all the awars which you have been shortlisted
 
Back
Top Bottom